Kwahiyo yule tabulele anaweza kufanya kazi na simba?Bado anakuwa amejichagulia upande mfano yanga hawatoweza kufanya naye kazi ikitokea
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahiyo yule tabulele anaweza kufanya kazi na simba?Bado anakuwa amejichagulia upande mfano yanga hawatoweza kufanya naye kazi ikitokea
Eti akatae hela za simba kisa yanga watachukiaDaah, washauri na watabiri wa maisha wameanza kujitokeza sasa. Kwani mkuu ilitakiwa afanyeje misso misondo 😅😅
Nimecheka sana sijui kwanini [emoji23]Simba kwa kukurupuka na kudandia mambo
Wameenda kumchukua kijana wa watu ambaye ndio kwanza kaingia mjini , ambaye kimsingi nyota yake ndio inawaka.
Kitendo cha yeye kukubali kufanya kazi na simba kitaenda kumcost sana kwani ndio anajifunga na hata nyota yake itapotea ndani ya muda mfupi sana.
Hiyo team ina laana sana na uchawi mwingi sana dogo anaenda kupotea