Mistari ya sugu kwenye wimbo wake wa hold on..

Mistari ya sugu kwenye wimbo wake wa hold on..

msafwa93

JF-Expert Member
Joined
Jul 2, 2011
Posts
4,786
Reaction score
5,963
mara nying nlikua nazckilza nymbo za SUGU za kwenye album yake ya mwisho itwayo VETO juujuu,nldhan amefulia kmashair kama prof.jay lakin leo nimeicklza vzur sana kumbe jamaa bdo kchwa kwa mashairi..
Ifuatayo n baadh ya mistar ilyopo kwenye wmbo wake wa HOLD ON..
>"bado unacheza yan mpaka leo we unawaza kupendeza,
Na utapendeza vip bila fedha,
Amka kidume huu ndo muda wa kukaza,
Wasikilze watu ila usiwaamin watu,
Sababu ni haohao watu leo watakufagilia,
Kisha n haohao kesho watatangaza umefulia,
Hawaelew labda mwanangu umeamua tu kutulia".

KISHA KUNA WIMBO MWINGNE UNAITWA 'MCHAKAMCHAKA',BAADH YA MISTARI YAKE INASEMA HVI..
>"ni upuuzi kusema game haiuzi wakati unategemea kuuza tapes na cd,
Si tunauza mpaka lecture kwasababu tuna cv"..
 
yaan huyo sugu toka asaliti kwenye antivirus kila afanyalo naliona fake tu.But still namuheshim kwa makubwa aliyofanya nyuma huko
 
Pole sana ndio unakuja kuijuwa leo Veto? my foot inaonekana mwenzetu hata kutembea unatembea kwa reverse.
 
Pole sana ndio unakuja kuijuwa leo Veto? my foot inaonekana mwenzetu hata kutembea unatembea kwa reverse.

Nadhan hujasoma thread vzur nmexema nlkua nayo tangu mda ila nmeicklza kwa umakn jana,wewe usieelewa knachozungumziwa ndo unatembea kwa reverse..
 
Back
Top Bottom