Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Ni laana kubwa sana !Uhuni huu utaisha kwa Watanzania kuukataa. Ajabu kuna kundi kubwa wanaushangilia kwa vigelegele. Maadili yetu kama Taifa yamekwenda wapi?
Ni laana kubwa sana !
Tuna mfano mzuri wa Ukara kisiwani, nendeni mkamzike mliyemtuma na muilipe fidia familia yake nyang'au nyie.Sio alitengeneza sinema, maana saccos ni mabingwa wa kutengeneza sinema za kihindi
Inaweza kuwa kikundi kutoka wapinzani wake kwani huko wana Historia ya kupeana sumu ya mamba n.kTuna mfano mzuri wa Ukara kisiwani, nendeni mkamzike mliyemtuma na muilipe fidia familia yake nyang'au nyie.
Mmepigwa kekundu wapuuz nyie mmechukua copy mkaacha form original wajinga kweli na hio ndo dawa yenuSio alitengeneza sinema, maana saccos ni mabingwa wa kutengeneza sinema za kihindi
Mpwa huyo mkuu,Mkurugenzi hajipendi?Pia mnyeti hatoboi
Chama kile kinaongozwa na wahuni washambaUhuni huu utaisha kwa Watanzania kuukataa tu. Ajabu kuna kundi kubwa wanaushangilia kwa vigelegele. Maadili yetu kama Taifa yamekwenda wapi?