Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Miaka yote wanaojua kujaza fomu ni CCM pekee?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwanzilishi wa huu ujinga ni bwana mkubwa mwenyeweHuyu kupita bila kupingwa inanikera sana ina maana huyu ni mbunge wa tume ya uchaguzi na wananchi bora kama inatokea hivi na tena kiuhalali bora zikapigwa kura za ndiyo na hapana lakini si kwa uhuni huu unaofanywa na mboga mboga.
Huyu mgombea wa upinzani katengeneza drama ili kuichafua CCMNi kweli kwamba Mgombea wa CHADEMA, Mwl Shija alivamiwa na watu waliotumwa kumpora fomu ili akose uteuzi kwa malengo ya kumpitisha Mnyeti bila kupingwa lakini alichoporwa ni fomu feki.
Amewasilisha fomu halisi kwa Mkurugenzi na ameteuliwa, anazo nyaraka zote za tume za kumtambulisha kama mteule kwa hiyo hizo porojo kwamba Mnyeti kapita bila kupingwa zipuuzwe, atalazimika kuutafuta ubunge jukwaani.
View attachment 1548289
Hongera mkuu.Uzi niliandika hapa ksufanyia kazi huyo mgombea hongera kwake
Njia nzuri za kukwepa kuibiwa au kuporwa fomu za uteuzi kwa wagombea wa CHADEMA
Subutuu pale misungwi Ni himaya ya kijani, Yani wapinzani hesabuni maumivu kwenye mikoa ifuatayo:- Mwanza,Geita,Tabora Dodoma, kwenye mikoa hiyo, CCM watamaliza kazi mapema Sana.Pia mnyeti hatoboi
Mkizidiwa akili mchutame tu kuficha uchi. Sasa unaandika ujinga zaidi.Huyu mgombea wa upinzani katengeneza drama ili kuichafua CCM
Mfanye biashara msingizie wagombea wametekwa, hivi chadema mna shida gani lakini?Kama haya mabarabara, madaraja na majumba yangekuwa na maana kubwa hivyo, kwa nini wateke wagombea wa vyama vingine eti wapite bila kupingwa? Wanajua kuwa madaraja hayagusi mioyo ya watu.
Ovyo sasa ndo umeandika nini? Andika hoja zenye mantiki. Achana na matusiMkizidiwa akili mchutame tu kuficha uchi. Sasa unaandika ujinga zaidi.
Huko kuna vilaza wengi sanaSubutuu pale misungwi Ni himaya ya kijani, Yani wapinzani hesabuni maumivu kwenye mikoa ifuatayo:- Mwanza,Geita,Tabora Dodoma, kwenye mikoa hiyo, CCM watamaliza kazi mapema Sana.
Hata Polisi nchi hii hakuna na nakuhakikishia Sirro aweza kuwa ndio RPC wa hovyo kabisa kuwahi kuwepo nchi hiiHii tume ndo tatizo..
Hajawahi kushinda uchaguzi wowote kwa halali , hata 2015 alipigwa kwa tofauti ya kura mil 7Mwanzilishi wa huu ujinga ni bwana mkubwa mwenyewe
Kama ni hivyo utekaji ulipangwa wa nini ?Misungwi chadema mnapoteza muda mnyeti mapema mnooo kama chakwanza.
Uhuni huu utaisha kwa Watanzania kuukataa tu. Ajabu kuna kundi kubwa wanaushangilia kwa vigelegele. Maadili yetu kama Taifa yamekwenda wapi?