Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
- #41
Majaliwa katia aibu isiyopimika ! Waziri Mkuu unashiriki kuteka wapinzani ! sijawahi kuona popoteUhuni ndo lugha sahihi ya kinachoendelea, Mpaka waziri mkuu alikuwa ni mtu namheshimu sana lakini naye ameshiriki vitendo vya kiharamia ili naye apite "bila kupingwa"