Uchaguzi 2020 Misungwi: Alexander Mnyeti hajapita bila kupingwa, Mgombea wa CHADEMA ameteuliwa kupambana naye

Nyie ndo mlituripotia kwamba Mnyeti kapita bila kupingwa,nyie hao hao ndo mnaturipotia tena kwamba Mgombea wa Chadema karudisha fomu. Acheni kuvuta bangi mbichi mtajikuta mnakunya kinyesi rangi ya tairi
 
Nyie ndo mlituripotia kwamba Mnyeti kapita bila kupingwa,nyie hao hao ndo mnaturipotia tena kwamba Mgombea wa Chadema karudisha fomu. Acheni kuvuta bangi mbichi mtajikuta mnakunya kinyesi rangi ya tairi
usitutie majaribuni
 
Haitakiwi mtu apite kirahisii watu washindane kwa kura
Na ccm kwa wizi wizi huu wa kuea mnaudhi sana
 
Nikimuangalia huyu dogo usoni, tayari Mnyeti anahitaji reasoning kubwa badala ya mazoea ya ya kiburi cha mkuu wa mkoa. Dogo ana mtaji na mara nyingi ukiweka mbinu kama hizo za kuteka watu, unaongeza umaarufu wa mtekwaji.
 
Sio alitengeneza sinema, maana saccos ni mabingwa wa kutengeneza sinema za kihindi
Nooo! Nadhani Mnyeti mwenyewe ndo feki tu! Sehemu nyingi pesa imetumika kuwalaghai wapinzani. Kuna hadithi hata Moro mjini yule mdada kajifanya maimuna na kukosea kuijaza fomu baada ya kurekebishiwa uchumi wake.
 
Mbona update kwenye ile sredi ya waliopita bila kupingwa haionyeshi badiliko kuhusu wagombea wa huko Misungwi?
 
Nitafutieni haka kamwalimu nikupe uteuzi,,,,,mnyeti umeingizwa kingi na kijana mdogo
 
Chadema mnakwama wapi?
Uhuni unakuwa plotted against nyie kila leo.
Mnashindwa nini kujibu mapigo kwa aina hiyo hiyo? Au mnategemea kuripoti kwa tume na polisi iwasaidie?

Mkitekwa, mkipigwa, mkikataliwa kupokelewa fomu, mkikamatwa na polisi kwa grounds ambazo ni evil nanyi chukueni hatua za aina hiyo hiyo kuwajibu hao wanaowafanyia hivyo.

Ukiona aliyekufanyia hivyo ana nguvu kuliko wewe basi tafuta mke/mumewe, watoto wake tekeleza. In a long run watajifunza, kutakuwa na parity
 
Uhuni huu utaisha kwa Watanzania kuukataa tu. Ajabu kuna kundi kubwa wanaushangilia kwa vigelegele. Maadili yetu kama Taifa yamekwenda wapi?
Ukiwaambia watu kuwa watanzania bado tumeshenzika wanatoa mapovu. Hatuna weledi wala maadili yanayo endana na haki pamoja na amani. Tunataka kulazimisha amani bila haki. Shenzi sana (kwa sauti ya Ndugu Francis Atwoli wa Kenya).
 
Inaweza kuwa kikundi kutoka wapinzani wake kwani huko wana Historia ya kupeana sumu ya mamba n.k
Kuendelea kuwa na negativities/kung'ang'aniza mawazo hewa kama yako ni kama kubishana kwa kutumia kiuno.
 
Inaweza kuwa kikundi kutoka wapinzani wake kwani huko wana Historia ya kupeana sumu ya mamba n.k
Kuendelea kuwa na negativities/kung'ang'aniza mawazo hewa kama yako ni kama kubishana kwa kutumia kiuno.
 
Kuendelea kuwa na negativities/kung'ang'aniza mawazo hewa kama yako ni kama kubishana kwa kutumia kiuno.
Kama yako, maana ungekuwa na positive mind ungesubiri taarifa za pande zote mbili au muamuzi wa Kati na sio ku take sides, hivyo wewe unaonyesha ni mkate viuno square
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…