nimefurahi wamejiepusha kujiunga na vyama vya siasa vyenye kujihusisha na magenge ya kihalifu kama kile ambacho waandamizi wake wametiwa nguvuni na bado wanasota lupango πWanaugua Suruwa hao sio bure.
Kujiunga na Vigagura yataka usukule.
I hope ni above 18 huyo, ama yuko chini ya hapo wakampooza na kofia baada ya kutaka kulazimisha kuandikishwa?π€£Sawa mkuu maana kijana wangu jana alikuja na kofia ya chama na yupo form two....
hiyo inafanyika zaidi mtaani kwa wahitimu wa vyuo ambao wamekutana na maisha tofauti mtaani, wafanyabiashara, wakulima, wafugaji, wasafirishaji, makundi maalumu n.k. hawa tunatumia ushawishi wa kisera, vipaumbele na mahitaji yao ya msingi kulingana na kundi walilopo...Ikumbukwe pia kwamba, kuna kujiunga kwa kushawishiwa kwa kupewa kitu au kuahidiwa ila katika swala la uchaguzi linabaki ni uamuzi wa mhusika.
Lazima wakulipe,wenzenu wakina steve nyerere na machawa wengine wako kwenye payroll ohoo,changamka usizubaezubaeYes,
Baraka na Neema za Mungu zilipa for sure, hakiwezekani bila hizo gentleman π
hilo ni jambo la kitaifa kwa wananchi wote,sio suala la CCM πWekeni katiba mpya am tume huru ya uchsguzi muone hali halisi.
Sasa hivi ni kila mtu anapeleka njaa zake
Wakati vyeo vya juu wanapeana wao na familia zao,hao wengineWatu wanadhani kujiunga ccm ni njia rahisi ya kupata ajira.
kujiunga CCM ni uzalendo wa kiwango cha juu sana, kwa maslahi mapana na manufaa yako mwenywe na Taifa kwa ujumla...Hapo zishatembea elf 20/20 yani kwa mtoto wa shule maskini hio hela anaona ndefu mno anaizika future yake
ndiyo,Ukweli ni kwamba vijana wanajiunga mbogamboga kwa manufaa yani ujue kunafursa imeonekana huko.Tofauti na hapo tunadanganyana
upotoshaji sio deal..Wamefuata rushwa.
huo ni upotoshaji,Wakati vyeo vya juu wanapeana wao na familia zao,hao wengine
Labda wanapewa kazi ya kulamba viatu
Ova
Pole sanahuo ni upotoshaji,
hakuna kupeana vyeo kwenye chama wala serikalini,
dhama za umma hutolewa kwa niaba ya waTanzani kwa watu wenye vigezo na sifa stahiki na bila kujali vyama vyao vya siasa, dini,rangi wala kabila zao ilimradi tu awe mTanzania mwenye sifa π
Hao mbwembwe nyingi uchaguzi ukifika wanaweka mpira kwapani uku wakitegemea mbeleko ya plc.Wekeni katiba mpya am tume huru ya uchsguzi muone hali halisi.
Sasa hivi ni kila mtu anapeleka njaa zake
nadhani sihitaji malipo ya aina yoyote kwenye kusema ukweli,Lazima wakulipe,wenzenu wakina steve nyerere na machawa wengine wako kwenye payroll ohoo,changamka usizubaezubae
Wakulipe,mnafanya kazi kubwa mjuwe
Ova
Kuna uhalifu mbaya kuliko kuwaibia waTanzania raslimali zao? Halafu ni wapi umeona wamepanga foleni wanajiunga na CCM leta picha. Watu wa leo siyo wa mwaka 47Ndugu zangu,
Wanafunzi wa sekondari na wa elimu ya juu ngazi mbalimbali nchini karibuni sana chama Tawala...
Kwanza hongerini sana kwa kuhamasika kiasi hicho na kuamua kujiunga na Chama Cha Mapinduzi CCM. mmefanya uamuzi wa hekima na busara sana kwa faida na mustakabali wa maisha yenu wenyewe.
Nawapongeza kwa kutambua kwamba mna wajibu katika kulitumikia taifa kupitia Chama Cha Mapinduzi.
Huo ni uamuzi wa kizalendo na kijasiri sana. Mwenyekiti wa CCM taifa Samia Suluhu Hassan amefurahi sana, na kwasababu ya majukumu mazito mengi ya kitaifa na kimataifa, huenda akapata muda wa kuzungumza nanyi baada ya uchaguzi wa serikali za mitaa.
hakikisheni wote mnajiandikisha na kua wanachama wa CCM, sambamba na kujiandikisha kwaajili ya uchaguzi wa Serikali za mitaa na vijijini, lakini pia kwa wale wote ambao hawakujiandikisha kwenye daftari la kudumu la wapiga kura miaka ya nyuma, kwasababu za kuimri ule, huu ndio wakati wenu muafaka, jiandikisheni sasa.
CCM ndiyo pekee chama kinachoaminika kwa umma, kitaifa na kimataifa, kinapendwa na wa Tanzania wote, kina aminika, ndicho chenye Serikali na kina ongoza dollar, ndicho chenye sera nzuri za kueleweka na kutekelezeka, chenye uelekeo wa wazi na chenye uhakika wa kushinda uchaguzi kwa kishindo bila mbambamba yoyote.
Daima epukeni kurubuniwa na kujiunga na vyama vya vya kisiasa vyenye sura na mienendo ya magenge ya kihalifu, mtapata tabu sana..π
Kidumu Chama Cha Mapinduzi
Mungu Ibariki Tanzania.
picha ni kwa walio na imani haba kama Thomaso, je nawe ni ndugu wa Thomaso mpaka uone picha ndipo uamini?πKuna uhalifu mbaya kuliko kuwaibia waTanzania raslimali zao? Halafu ni wapi umeona wamepanga foleni wanajiunga na CCM leta picha. Watu wa leo siyo wa mwaka 47