Misururu mirefu na misongamano ya vijana kujiandikisha kujiunga na Chama cha Mapinduzi ni mikubwa mno. Hongereni sana vijana Tanzania

Hivi napataje kadi ya ccm?
ni rahisi sana gentleman,

japo kadi zimeisha na maeneo mengi sana zinahitajika, lakini baada ya subra na ustahimilivu kidogo tu kadi zitapatikana na utapatiwa tena kadi ya kielektronic....

unaweza kujisajili wewe mwenyewe kupitia simu yako ya mkononi kupitia App ya CCM kama umepakua, lakini ni vizuri na muhimu zaidi kwenda kujisajilia kwenye ofisi au tawi lolote la CCM lililopo karibu nawe kwasabb utapata maelekezo ya ziada muhimu sana kuhusu CCM...

kwasabb baada tu ya kujasiliwa na kufahamika tawini kwako utaanza kushirikishwa kazi na majukumu mengine mazito ya kichama na huko ndiko fursa zilipo aise....


hebu usichelewa kufanya hivyo gentleman usiogope kabisa πŸ’
 
Nipo njiani tayari nawahi tawini
Asante sana
 
Tunajiandikisha ila kura ni Siri yetu!
 
Huwo uhalifu kama mnauomba mtaupata tu na mtajua sikumoja.

Uhalifu mmeuona huko chadema tu?
 
Ila wewe jamaa..!
Sema uchawa wako inaonesha ni wa kimaslahi zaidi, maana una kaustaarabu fulani.
Haujakaa ki-jihad kama wa Luka.
 
Ila wewe jamaa..!
Sema uchawa wako inaonesha ni wa kimaslahi zaidi, maana una kaustaarabu fulani.
Haujakaa ki-jihad kama wa Luka.
maslahi mapana ya Taifa Taifa, right?πŸ’

mimi ni mtumishi mnyonge sana nisiestahili wa wananchi huku jimboni vijijini sana,
ni mtu wa bidii, ukweli na uwazi daima sikati tamaa hata kama mwanainchi atapata mihemko akanipiga kofi, bado atabaki kua na wangu na ni mTanzania mwenzangu...

uongozi si lelemama, uongozi ni jalala inahitaji subra na ustahimilivu sana πŸ’
 
Huwo uhalifu kama mnauomba mtaupata tu na mtajua sikumoja.

Uhalifu mmeuona huko chadema tu?
ni katika upinzani kwa ujumla, ila CHADEMA udhaifu, nyufa, mipasuko na mianya hasa ya rushwa ni mikubwa mno πŸ’
 
Maokoto kiasi gani na mimi niunge tela?
kwan wewe kwenye huo mipasuko hapo chadema, uko upande wa chairman au vice chairman pale ili nikuelekeze maokoto utakayoyapata kisha uchague mwenyewe ujiunge upande gani πŸ’
 
Kwa hiyo 2025 hatuhitaji hata zile njia zisizo halali alizozisema Nape
 
Kwa hiyo 2025 hatuhitaji hata zile njia zisizo halali alizozisema Nape
njia ni moja tu,
chini ya tume huru ya uchaguzi,

uchaguzi ni huru, haki na wazi full stop...

porojo na ma story ya town sio issue hata kidogo chini ya kiongozi na kipenzi cha waTanzania Dr.Samia Suluhu Hassan chini ya mwavuli wa 4rs theory πŸ’
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…