Misururu ya malori zaidi ya 300 kutoka Tanzania kuingia Kenya yakwama

Misururu ya malori zaidi ya 300 kutoka Tanzania kuingia Kenya yakwama

Bwana weee.msitutishe FUNGENI..
wala haina haja ya kuweka vikao na magufuli.
Mnataka kufunga FUNGENI
Sent using Jamii Forums mobile app
Nyie mnashabikia mkiwa tu huko mashambani Mkuranga, hamjui kinachoendelea kwenye boda. Boda ilifungwa zamani sana, matrela na lori za bidhaa tu ndio zinakubaliwa kuingia na kutoka. Ila hapapiti mtu kabla hajapimwa, jana madereva 14 ambao walikuwa wametoka Tz walipatikana wana virusi vya COVID-19. 9 wakenya 5 watanzania, wakenya wakakubaliwa waingie nchini na wakapelekwa 'isolation' watz wakaambiwa warudi makwao. Ole wenu maanake taarifa nilizozipata ni kwamba hao madereva 5 watanzania hawakufikishwa hata hospitalini.
 
Nyie mnashabikia mkiwa tu huko mashambani Mkuranga, hamjui kinachoendelea kwenye boda. Boda ilifungwa zamani sana, matrela na lori za bidhaa tu ndio zinakubaliwa kuingia na kutoka. Ila hapapiti mtu kabla hajapimwa, jana madereva 14 ambao walikuwa wametoka Tz walipatikana wana virusi vya COVID-19. 9 wakenya 5 watanzania, wakenya wakakubaliwa waingie nchini na wakapelekwa 'isolation' watz wakaambiwa warudi makwao. Ole wenu maanake taarifa nilizozipata ni kwamba hao madereva 5 watanzania hawakufikishwa hata hospitalini.
Kwanini msizuie na malori kuingia Kenya kama kweli hamuitegemei Tanzania?, bila Tanzania kuwaletea bidhaa muhimu kwa uhai wa binadamu, wakenya wengi mtakufa kuliko mnavyokufa kutokana na COVID-19.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sema ni bidhaa gani ya viwandani ya Kenya inayouzwa Tanzania kwa wingi hadi kusababisha foleni za malori toka Kenya kuingia Tanzania?, zaidi ya Sigara na Sabuni chache za kufulia na Margerine. Tanzania inauza 'bulky" and important goods to Kenya, like food, industrial materials, Electric transformers, Timber and Fruits, ndio sababu kuna malori mengi yanayoingia Kenya.
Leta takwimu sio porojo za kilumumba. Mwaka jana kibiashara tumewapiga deficit ya $35.8 million na mlivunja rekodi ya miaka minne kwa kununua bidhaa nyingi zaidi kutoka Kenya. Nyingi zaidi ya zile ambazo Kenya inanunua kutoka Tz. Top product za Tz ni mahindi, maharagwe na kamba za makonge(viwonder), za Kenya ni madawa, sabuni na bidhaa zingine kutoka kwa viwanda. Taarifa na takwimu kutoka kwa TRA na BoT;Tanzania trade with Kenya turns into deficit
 
Madereva kutoka Tanzania walalamikia namna ya upimwaji wa Corona kwa upande wa Kenya – Video
Ally Juma28 mins ago
108
FacebookTwitterShare via Email



Madereva wa Malori zaidi ya sitini kutoka hapa nchini wamekumbana na changamoto eneo la Mpaka wa Namanga unaozitenganisha Tanzania na Kenya kwa kile kinachodaiwa Serikali ya Kenya kuanza kazi ya kuwapima Ugonjwa wa COVID 19 kwa mifumo ambayo madereva hao hawakubaliani nayo.




Madereva kutoka Tanzania walalamikia namna ya upimwaji wa Corona kwa upande wa Kenya - Video - Bongo5.com

MY TAKE
Wapimaji wa Kunyaland hawa-sanitize mikono!



#Akilizahandshake#

CC: Zigi Rizla Kafrican Depay Yosef Festo Teargass Tony254 pingli-nywee komora096 Edward Wanjala
kikihboy
nomasana, sam999, NairobiWalker, hbuyosh, msemakweli, simplemind, Kimweri, Bulldog, MK254, Kafrican, Ngongo, Ab_Titchaz, mtanganyika mpya, JokaKuu, Ngongo, Askari Kanzu, Dhuks, Yule-Msee, waltham, Mzee, mombasite gabriel, Juakali1980, Boda254, mwaswast, MwendaOmo
, Iconoclastes, oneflash, Kambalanick, 1 Africa, saadeque, burukenge, nyangau mkenya, Teen-Upperhill Nairobi, kadoda11
 
Sisi tuna uwezo wa kupima corona chini ya masaa 24. Nyie je bado mnachukua siku tatu ili mpate majibu?
LOL kila siku tunaongea bila Tanzania, Kenya ina collapse within a second

Na ndio maana hupayuka kufunga mipakani theoretically tu lakini deep down into the reality wanajua it's a largest worlds impossible especially for Tanzania

Utashangaa pamoja na kujitapa kuwa na biggest port lakini ndio vinara kupakua mzigo Tanga na Dar, 70% ya chakula kinachotumika Kenya kinatoka Tanzania

Watanzania tuzidi kuchapa kazi kama Rais wetu JPM anavyotuhimiza huku tahadhari ikichukua mkondo wake

We have lots of lazy asses around to reap bigger money from them all over.

 
Sisi tuna uwezo wa kupima corona chini ya masaa 24. Nyie je bado mnachukua siku tatu ili mpate majibu?

Meanwhile


MY TAKE
Itabidi KQ ikabebe Mkaa Kismayo but under permission of Ethiopia's ENDF permission to enter Somalian airspace!
 
Meanwhile

Nyie hata hamna airline inayoweza kuenda Europe, mnategemea kanchi kadogo Rwanda kuwasafirishia mizigo yenu ya unprocessed raw fish. Halafu unakuja hapa kujisifu? Unashangaza jamani
 
Nyie hata hamna airline inayoweza kuenda Europe, mnategemea kanchi kadogo Rwanda kuwasafirishia mizigo yenu ya unprocessed raw fish. Halafu unakuja hapa kujisifu? Unashangaza jamani



Good as long as not KQ but any other airlines its cool by me its regional trade promotion!

#UkaidiwaKagame#

#Akilizahandshake#

CC: Zigi Rizla Kafrican Depay Yosef Festo Teargass Tony254 pingli-nywee komora096 Edward Wanjala
kikihboy
nomasana, sam999, NairobiWalker, hbuyosh, msemakweli, simplemind, Kimweri, Bulldog, MK254, Kafrican, Ngongo, Ab_Titchaz, mtanganyika mpya, JokaKuu, Ngongo, Askari Kanzu, Dhuks, Yule-Msee, waltham, Mzee, mombasite gabriel, Juakali1980, Boda254, mwaswast, MwendaOmo
, Iconoclastes, oneflash, Kambalanick, 1 Africa, saadeque, burukenge, nyangau mkenya, Teen-Upperhill Nairobi, kadoda11
 
Ni utaratibu mzuri,wapime kwanza ndo waingie,kwa maana nyingine kampuni za usafirishaji zitenge kabisa wiki ya kusubiri Happ boda,,
 
At Malaba border crosses 800 while at Busia crosses 500 trucks! half of what u claim!

DELAYS
Transit cargo down 50% on slowed border clearance
Malaba border is currently handling 50 trucks or less a day
In Summary
•The Malaba and Busia borders have about 800 and 500 trucks crossing everyday respectively.
•While it used to take between four hours and 24 hours, now it takes 36 hours to 48 hours to clear a truck.
Long distance trucks line up along the Amagoro-Malaba Highway as they wait to cross the border to Uganda
'HARD TIMES': Long distance trucks line up along the Amagoro-Malaba Highway as they wait to cross the border to Uganda
Image: EMOJONG OSERE

Cargo clearance into Uganda and other hinterland countries has dropped by more than 50 per cent, a survey has showed.
This has greatly affected imports and exports through the port of Mombasa.

The border surveillance by African e-logistics firm–Kobo360 shows the mandatory coronavirus testing at the Kenya-Uganda borders of Malaba and Busia has reduced clearance for truck drivers of essential goods to less than 50 per cent.

According to the firm, the busy Malaba border is currently handling 50 trucks or less a day with traffic stretching more than 50 kilometers on either sides.

Transport sector data shows the Malaba and Busia borders have about 800 and 500 trucks crossing every day, respectively.

“We have seen significant delays in cargo clearance. While it used to take between four hours and 24 hours, now it takes 36 hours to 48 hours,” Kobo360 Kenya Country Manager Dennis Kathurima told the Star on the telephone.

This has affected truck turn-around time between Mombasa and Kampala which has increased from an average four days to 10 days.

“Truck drivers have experienced additional fuel expenses, increased mileage per trip and even truck and cargo security, which have caused an escalation in the drivers' monthly costs,” said Kathurima.

For instance, a driver on a monthly salary of Sh10,000 requires an additional Sh1,500 per day for upkeep and between Sh1,500 and Sh2,500 for securing cargo when stagnant.

The lengthy turn around times are also leading to financial pressure on haulage firms, some of which are defaulting on loans, Kobo360 notes.

The firm, however, supports the mandatory testing and measures in place to curb the spread of the virus.

Five truck drivers–two Ugandan and three Kenyans, last week tested positive for the coronavirus.

There are an average 600 to 1,000 trucks along the Northern corridor every day, mainly between Mombasa and Kampala.

Uganda accounts for more than 83.2 per cent of transit cargo to the hinterland through the Port of Mombasa with an average annual transit traffic of 7.8 million tonnes.

South Sudan takes up 9.9 per cent while DR Congo, Tanzania and Rwanda account for 7.2 per cent, 3.2 per cent and 2.4 per cent respectively, Kenya Port Authority data shows.

“Uganda remains our biggest transit destination,” KPA notes in its recent port performance report.

Yesterday, the Kenya Long Distance Truck Drivers Association renewed its call to boycott Ugandan cargo over harassment by the Ugandan authorities and members of the public.

Secretary-General Nicholas Mbugua, said Kenyan drivers continue to be labeled “corona” in Uganda, which has led to stigma.

“They are also denied access to food, accommodation and other basic needs. Our stand remains the same, let Ugandans come for their cargo at the border,”Mbugua said, “ We cannot allow such barbaric acts to continue.

He said there are incidences of violence where Kenyan drivers are beaten up. A rape case on a Kenyan driver was also reported a week ago, he said.

Kobo360 also observed stigmatization on its Kenya-Uganda transit route survey.

“Cases of drivers being denied access to basic amenities are high. They are even forced to carry their own supplies,”

Kathurima said, noting the company has had to cancel some of its deliveries to Uganda.

The Kenya Transporters Association (KTA) has also decried harassment of drivers.

“There are a lot of frustrations. We are calling on the two governments to resolve the issues which continue to hurt trade between the two countries,” KTA chief executive Dennis Ombok said yesterday.

Meanwhile, KTA remains opposed to the Sh6,000 being charged to test drivers by Kenyan authorities.

“Truck drivers are essential service provider. We don’t know why they are being charged. The government should offer these services for free,” Ombok said.

Transit cargo down 50% on slowed border clearance
Wewe hivi juzi hukuwa unajua kwamba Kenya tuna border mbili na Uganda, sasa leo ndio utakuja kutufunza kuhusu kinachoendelea kwenye border?
 
Leta takwimu sio porojo za kilumumba. Mwaka jana kibiashara tumewapiga deficit ya $35.8 million na mlivunja rekodi ya miaka minne kwa kununua bidhaa nyingi zaidi kutoka Kenya. Nyingi zaidi ya zile ambazo Kenya inanunua kutoka Tz. Top product za Tz ni mahindi, maharagwe na kamba za makonge(viwonder), za Kenya ni madawa, sabuni na bidhaa zingine kutoka kwa viwanda. Taarifa na takwimu kutoka kwa TRA na BoT;Tanzania trade with Kenya turns into deficit
Trade ya 1970.
Mahindi,maharagwe,
Cheap stuffs.
 
Zinazoingia Uganda toka Kenya ni "on transit", sio bidhaa zinazozalishwa Kenya, lakini zinazotoka Tanzania kuingia Kenya ni 99% bidhaa zilizozalishwa Tanzania kwa kutumika Kenya.

Sent using Jamii Forums mobile app
Sio kweli kwamba bidha zote zinazokwenda UG kutoka Kenya ni "transit goods". Baina ya bidhaa hizo ni bidhaa zinazotoka Kenya na Kuelekea UG. Kwa hivyo kuna bidhaa zinazotoka nje ya Kenya zikielekea UG na kuna bidhaa zinazotokea Kenya zikielekea UG. UG huwa wananunua finished products nyingi (sabuni, mafuta ya kupika na kadhalika) yaliyotengenezwa Kenya.
 
Wapi imeandikwa kwamba mumetenga pesa kando ya kununua cargo aircraft?
en1588592456-HOTUBA - WUUM  (2020-21)-133_page-0001.jpg






#Akilizahandshake#

CC: Zigi Rizla Kafrican Depay Yosef Festo Teargass Tony254 pingli-nywee komora096 Edward Wanjala
kikihboy
nomasana, sam999, NairobiWalker, hbuyosh, msemakweli, simplemind, Kimweri, Bulldog, MK254, Kafrican, Ngongo, Ab_Titchaz, mtanganyika mpya, JokaKuu, Ngongo, Askari Kanzu, Dhuks, Yule-Msee, waltham, Mzee, mombasite gabriel, Juakali1980, Boda254, mwaswast, MwendaOmo
, Iconoclastes, oneflash, Kambalanick, 1 Africa, saadeque, burukenge, nyangau mkenya, Teen-Upperhill Nairobi, kadoda11
 
Leta takwimu sio porojo za kilumumba. Mwaka jana kibiashara tumewapiga deficit ya $35.8 million na mlivunja rekodi ya miaka minne kwa kununua bidhaa nyingi zaidi kutoka Kenya. Nyingi zaidi ya zile ambazo Kenya inanunua kutoka Tz. Top product za Tz ni mahindi, maharagwe na kamba za makonge(viwonder), za Kenya ni madawa, sabuni na bidhaa zingine kutoka kwa viwanda. Taarifa na takwimu kutoka kwa TRA na BoT;Tanzania trade with Kenya turns into deficit
Umeona na kukiri kwamba Tanzania kwa miaka minne nyuma imekua ikiuza bidhaa nyingi zaidi kuliko inazonunua toka Kenya, ni mwaka Jana pekee ndio Kenya imeuza nyingi Tanzania, hiyo ni dalili kwamba Tanzania ndiyo inauza bidhaa nyingi Kenya kuliko Kenya inavyouza Tanzania.

Sababu kubwa ya Tanzania kutouza bidhaa nyingi Kenya mwaka Jana, ni kutokana na kwamba, Chakula cha Tanzania kilikwenda zaidi katika nchi za Malawi, Msumbiji na Zimbabwe zilizokumbwa na kimbunga, mwaka huu utashuhudia jinsi "trade deficit" itakavyorudi kama ilivyokua miaka minne nyuma.

Jambo lingine ni kwamba, bidhaa tunazowauzia ni zile muhimu kwa maisha yenu na maisha ya uchumi wenu kama vile vyakula, pamba, karatasi na makaa ya mawe, gesi ya kupikia na Transformers za umeme, ninyi mnatuuzia domestic goods, sio bidhaa muhimu Sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom