Misururu ya malori zaidi ya 300 kutoka Tanzania kuingia Kenya yakwama

Misururu ya malori zaidi ya 300 kutoka Tanzania kuingia Kenya yakwama

Sio kweli kwamba bidha zote zinazokwenda UG kutoka Kenya ni "transit goods". Baina ya bidhaa hizo ni bidhaa zinazotoka Kenya na Kuelekea UG. Kwa hivyo kuna bidhaa zinazotoka nje ya Kenya zikielekea UG na kuna bidhaa zinazotokea Kenya zikielekea UG. UG huwa wananunua finished products nyingi (sabuni, mafuta ya kupika na kadhalika) yaliyotengenezwa Kenya.
Kwa hiyo kati ya hayo malori 1300 yanayovuka mpaka kuingia Uganda, tuyagawe kama ifuatavyo

1)Transit
Uganda, Rwanda, DRC, Burundi & South Sudan

Sasa hapo ukigawanya, ni malori mangapi yanayobeba bidhaa ziliotengenezwa Kenya kwenda Uganda?, hayawezi kufika hata 50 kwa siku. Kumbuka kwamba " finished manufactured goods are not bulky".

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umeona na kukiri kwamba Tanzania kwa miaka minne nyuma imekua ikiuza bidhaa nyingi zaidi kuliko inazonunua toka Kenya, ni mwaka Jana pekee ndio Kenya imeuza nyingi Tanzania, hiyo ni dalili kwamba Tanzania ndiyo inauza bidhaa nyingi Kenya kuliko Kenya inavyouza Tanzania.

Sababu kubwa ya Tanzania kutouza bidhaa nyingi Kenya mwaka Jana, ni kutokana na kwamba, Chakula cha Tanzania kilikwenda zaidi katika nchi za Malawi, Msumbiji na Zimbabwe zilizokumbwa na kimbunga, mwaka huu utashuhudia jinsi "trade deficit" itakavyorudi kama ilivyokua miaka minne nyuma.

Jambo lingine ni kwamba, bidhaa tunazowauzia ni zile muhimu kwa maisha yenu na maisha ya uchumi wenu kama vile vyakula, pamba, karatasi na makaa ya mawe, gesi ya kupikia na Transformers za umeme, ninyi mnatuuzia domestic goods, sio bidhaa muhimu Sana

Sent using Jamii Forums mobile app
wanauza FMCG mpaka leo!
 
Kwa hiyo kati ya hayo malori 1300 yanayovuka mpaka kuingia Uganda, tuyagawe kama ifuatavyo

1)Transit
Uganda, Rwanda, DRC, Burundi & South Sudan

Sasa hapo ukigawanya, ni malori mangapi yanayobeba bidhaa ziliotengenezwa Kenya kwenda Uganda?, hayawezi kufika hata 50 kwa siku. Kumbuka kwamba " finished manufactured goods are not bulky".

Sent using Jamii Forums mobile app
Tusianze kubahatisha. Hatuna data ya kuamua haya mambo. Hadi tupate data ya kutosha ndio tuamue kiasi gani kinatengenezwa Kenya na gani kinatoka nje.
 
Wewe mke wako akunyang'anye hio simu kwa siku mbili tu tuone jambo gani litafanyika. Pengine utajinyonga kwa kumiss kusearch mambo ya Kenya, your favourite hobby. Unapenda kenya kushinda mke wako. We are so flattered.
 
Kama Kenya ingefanya vivyo hivyo, hamgekosa kupayuka kwamba KQ imekufa na haezi saidia Kenya. Lakini ATCL ikizhindwa kazi baada ya kununua ndege eti ni undugu... hypocrisy
ATCL haijaanza safari za Ulaya, haina kibali cha kutua katika nchi za Ulaya ndio sababu tunatumia ndege zengine, tukianza kwenda huko tutatumia ndege zetu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nyie mnashabikia mkiwa tu huko mashambani Mkuranga, hamjui kinachoendelea kwenye boda. Boda ilifungwa zamani sana, matrela na lori za bidhaa tu ndio zinakubaliwa kuingia na kutoka. Ila hapapiti mtu kabla hajapimwa, jana madereva 14 ambao walikuwa wametoka Tz walipatikana wana virusi vya COVID-19. 9 wakenya 5 watanzania, wakenya wakakubaliwa waingie nchini na wakapelekwa 'isolation' watz wakaambiwa warudi makwao. Ole wenu maanake taarifa nilizozipata ni kwamba hao madereva 5 watanzania hawakufikishwa hata hospitalini.
Nyinyi wakenya huu ugonjwa bado amjauelewa kama unao lakini hakuna tatizo kiafya mpaka unapona bila kujua kama unaugua sasa kupima watu wazima wakati dawa hakuna ni kupoteza wakati waendelee kuchapa kazi wakiugua ndiyo waende kupima

Send by APOLO 1
 
LOL kila siku tunaongea bila Tanzania, Kenya ina collapse within a second

Na ndio maana hupayuka kufunga mipakani theoretically tu lakini deep down into the reality wanajua it's a largest worlds impossible especially for Tanzania

Utashangaa pamoja na kujitapa kuwa na biggest port lakini ndio vinara kupakua mzigo Tanga na Dar, 70% ya chakula kinachotumika Kenya kinatoka Tanzania

Watanzania tuzidi kuchapa kazi kama Rais wetu JPM anavyotuhimiza huku tahadhari ikichukua mkondo wake

We have lots of lazy asses around to reap bigger money from them all over.

Kenya ni soko kwenyu, lazima mung'ang'ane kuuza, ata kama nikupitia njia ya magendo, utapata wale wenye kufanya hiyo biashara ni wachache mno with Kenyan middlemen na corrupt police wanakula pesa mingi, nyinyi wengine karibia 99% memezubaa kishenzi, no wonder Dar looks like a big village ukitembea mitaani, watu wako hovyo! Tanzania kama nchi hamna mahali pa kuuza kwa wingi na kutosheka, mumezungukwa na nchi masikini wa kutupwa kama nyie, ila with good fertile agricultural land, so u dont have dependable market kama Kenya, haswa wakati kama huu ambapo uchumi dunia yote ime slow down, mnakimbiza bidhaa Kenya angalau mpate hela ya kununua chupi na sukari.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] we rule EAC hate us if u want, truth remains[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Corona is seriously exposing your weaknesses.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom