Mitaa ya Msimbazi hali si shwari

Mitaa ya Msimbazi hali si shwari

Binafsi mm ni Yanga damu damu lkn kuna faida gani endapo mtani atakua hoi? Nani ataleta ushindani?
Nawaombea kwa Mungu msimbazi hali iwe shwari na waimarike. Uimara wa Simba ni uimara kwa yanga. Yanga bila simba hakuna kitu na vice-versa.
Fact mkuu but ndo hivyo tena tumechanganyikiwa.soon wachezaji wataanza kuondoka mmoja mmoja.
 
Huyo kigwangala mnafiki tu mbona huko ccm watu wanakula hela nje nje mbona ahoji zinaenda wapi baada ya kubanwa maslahi yake ndo kaanza harakati za kumkejeli mo dewji
Hapo sasa anatamani na yy kula
 
Tatizo la hizi team ni zaidi ya mpira japo zimekaa kisiasa ila lengo ni Watanzania waache kujadili mambo ya msingi yahusuyo maisha yao na serikali yao wajadili Simba na Yanga na hilo wamefanikiwa kwa kiasi kikubwa ndio maana kwenye vijiwe vingi vya kahawa mada zao nyingi ni Simba na Yanga yaani hali si shwari.
 
Tatizo la hizi team ni zaidi ya mpira japo zimekaa kisiasa ila lengo ni Watanzania waache kujadili mambo ya msingi yahusuyo maisha yao na serikali yao wajadili Simba na Yanga na hilo wamefanikiwa kwa kiasi kikubwa ndio maana kwenye vijiwe vingi vya kahawa mada zao nyingi ni Simba na Yanga yaani hali si shwari.
Sahihi kabisa..

Vilabu vya kimkakati hivyo...
 
Binafsi mm ni Yanga damu damu lkn kuna faida gani endapo mtani atakua hoi? Nani ataleta ushindani?
Nawaombea kwa Mungu msimbazi hali iwe shwari na waimarike. Uimara wa Simba ni uimara kwa yanga. Yanga bila simba hakuna kitu na vice-versa.
Mkuu ondoa shaka Simba haitatetereka..Simba is there to stay tena itakua bora zaidi ya jana.
Ila twashukuru kwa kutuombea kheri
 
Back
Top Bottom