KERO Mitaa ya Tengeru Arusha vibaka wanapora na kuumiza watu. Hatua za Haraka zinahitajika

KERO Mitaa ya Tengeru Arusha vibaka wanapora na kuumiza watu. Hatua za Haraka zinahitajika

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua

Bush Dokta

JF-Expert Member
Joined
Apr 11, 2023
Posts
24,831
Reaction score
45,154
Jana nilikuwa naongea na moja ya wananchi washio Arusha.

Ktk kupiga stori za hapa na pale aliniambia visa na matukio ambayo mimi binafsi yamenitisha na kuniumiza kichwa.

Usalama wa Wananchi Arusha hasa mitaa ya Tengeru umekuwa Mdogo.

Kuna matukio ya kiharifu yametokea kati ya Tarehe 12 na 15 mwzi juni 2024 ambapo watu kadhaa wamevamiwa na kuporwa mali zao na wengine kuumizwa.

Kwa kuwa ni Tetesi hazina uhakika lakini tunaamini kilio cha wananchi hawa ni cha kweli na kuiomba Mamlaka ya mkoa kuchukua hatua zinazostahili.

Maeneo yaliyoathirika zaidi kwa mujibu wa habari hizo ni Tengeru, Magorofani na Chama

RC Paul Makonda ni mahiri kwenye utendaji wa kazi.

Alikomesha Panya Road Dar Es Salaam. Tunaomba please na Arusha ipate utulivu.
 
Wanavamia raia wasio na Hatia huko na kuwaumiza na kuwaharibia mali zao.
Kwani vibaka wanavamiaga walio na hatia?

Arusha jiteteeni wenyewe maana mmejizina data…. Ni mkoa pekee uliokubali vijana wenu wawe na tabia za hovyo na kujiita majina ya hovyo… tabia zinaonekana tangu mtoto akiwa chini ya miaka 10, mnalea weeeeee ili baadaye mlie na umma uwasaidie

Hao vijana mnawajua ila mna shida ya kufuga watoto wezi in the name of undugu

Hasa wameru
 
Kwani vibaka wanavamiaga walio na hatia?

Arusha jiteteeni wenyewe maana mmenitoa dtama

Hao vijana mnawajua ila mna shida ya kufuga watoto wezi in the name of undugu

Hasa wameru
Kumbe wanafuga Wahalifu?
 
Tengeru ilikua hatari kipindi cha nyuma naona wamerudi tena na hii bara bara ya East Africa vibao vya 50 wamefuta kwa rangi nyeusi na kuunga ionekane 80 na hiyo bara bara gari zinazopita nyingi ni za Rwanda na Kenya wanapata ajali sana kwenye maulana ya bara bara aisee na hao jamaa wanaohusika na hiyo bara bara hakuna kitu wanafanya hata kubadili au kufuta vibao....
 
Tengeru ilikua hatari kipindi cha nyuma naona wamerudi tena na hii bara bara ya East Africa vibao vya 50 wamefuta kwa rangi nyeusi na kuunga ionekane 80 na hiyo bara bara gari zinazopita nyingi ni za Rwanda na Kenya wanapata ajali sana kwenye maulana ya bara bara aisee na hao jamaa wanaohusika na hiyo bara bara hakuna kitu wanafanya hata kubadili au kufuta vibao....
Tengeru ajali ni nyingi mno. Almost kila mwezi wanazika
 
Uvutaji Bangi sio Tengeru tu ni maeneo mengi Tanzania
Nakuelewa Dr ila wanasema ya Sing'isi hatari...yote kwa yote, Watu wa Usalama watimize mqjukumu yao..kwa kuanzia punguza askari wa barabarani, waletwe uraiani kuzuia uhalifu
 
  • Thanks
Reactions: apk
Wanavamia raia wasio na Hatia huko na kuwaumiza na kuwaharibia mali zao.
Hiyo ni mitaa hatari sana. Niliishi hapo Tengeru Opposite na chuo cha ualimu Patandi miaka ya 2009. Vibaka ni wengi, wengi wanatokea kule Sing'isi kwa mkwe wangu mzee Masira. Kuanzia Chama hadi Tengeru ni hatari kwa watu kuishi.

Risasi na mabeto ni nje nje hata wakija kuchukua TV nyumbani kwako. Nikajua Shemeji zangu wameru wamebadilika ila kumbe hadi leo wapo hivyo hibyo. Changamoto na chanzo cha hayo ni mama zao. Watoto wakikamatwa kwenye uhalifu, mama anaenda kumtoa mahabusu na atapambana hadi kesi ifutwe. Dogo akitolewa anarudia kuvuta bangi, kula milaa, kuvuta Petroli pamoja na rangi bila kusahau kumeza valium kama ulevi.
 
Back
Top Bottom