tamuuuuu
JF-Expert Member
- Mar 10, 2014
- 21,329
- 28,063
Ni matokeo ya kuwasifia wadudu na kuwapa platformNadhani ni matokeo ya uvutaji Bange za Sing'isi, kwa vijana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni matokeo ya kuwasifia wadudu na kuwapa platformNadhani ni matokeo ya uvutaji Bange za Sing'isi, kwa vijana
Kumbe Tengeru panazidi Mitaa yoteHiyo ni mitaa hatari sana. Niliishi hapo Tengeru Opposite na chuo cha ualimu Patandi miaka ya 2009. Vibaka ni wengi, wengi wanatokea kule Sing'isi kwa mkwe wangu mzee Masira. Kuanzia Chama hadi Tengeru ni hatari kwa watu kuishi.
Risasi na mabeto ni nje nje hata wakija kuchukua TV nyumbani kwako. Nikajua Shemeji zangu wameru wamebadilika ila kumbe hadi leo wapo hivyo hibyo. Changamoto na chanzo cha hayo ni mama zao. Watoto wakikamatwa kwenye uhalifu, mama anaenda kumtoa mahabusu na atapambana hadi kesi ifutwe. Dogo akitolewa anarudia kuvuta bangi, kula milaa, kuvuta Petroli pamoja na rangi bila kusahau kumeza valium kama ulevi.
Mwamba PCM juzi kawapa shavu mjiniNi matokeo ya kuwasifia wadudu na kuwapa platform
Watu wanakuja wako watano hadi Saba au ni mtu mmoja aliyegawanyika?Pana uwezekano mkubwa wala si kikundi bali ni mtu moja tu tena kijana mdogo tu.
Arusha mwaka jana ilitikiswa na kijana mdogo Dangote.
View attachment 3019593
Mkuu siku hizi sing'isi kuko shwari ndio mitaa ya wanachuo wa makumira, maendeleo ya jamii, na mifugo.Nadhani ni matokeo ya uvutaji Bange za Sing'isi, kwa vijana
Inakuwaje hii sasa?Hapo mitaa ya maghorofani wanaishi polisi na wanajeshi lakini ndiyo mitaa yenye vibaka.
U nailed it!mna shida ya kufuga watoto wezi in the name of undugu
Hasa wameru
Hapo magorofani kwenye ofisi za tarura hizo nyumba walipewa polisi waishi hapoInakuwaje hii sasa?
Kwa hiyo Kituo cha polisi hakina kaziHapo magorofani kwenye ofisi za tarura hizo nyumba walipewa polisi waishi hapo
Na kituo cha polisi kipo tu hapo Tengeru sokoni lakini kwa sababu viongozi wa mitaa hiyo wanaendekeza waizi ndio maana wizi umehshamiri
Kule Sing'isi wanakijiji waliamua kudhibiti wizi ukaisha kwenye mikutano ya kijiji waizi wauza bangi na gongo walikuwa wanatajwa kwa majina.
Hapo magorofani watu wameibiwa sana asubuhi asubuhi na usiku tatu mzuka a.k.a wadudu wapo mitaa hiyo.Basi tengeru imekua kubwa mbona niko hapa kila saa saa nasijasikia tukio?
Nimeuliza wadau wameniambia kuna wadada kadhaa wameibiwa na watu walio kwenye pikipiki.Hapo magorofani watu wameibiwa sana asubuhi asubuhi na usiku tatu mzuka a.k.a wadudu wapo mitaa hiyo.
Ni kweli kabisa.Nimeuliza wadau wameniambia kuna wadada kadhaa wameibiwa na watu walio kwenye pikipiki.