Mitaa yetu mingi haina nafasi za wazi kwaajilli ya kupumzika. Huwa unaenda wapi kupunga upepo?

Mitaa yetu mingi haina nafasi za wazi kwaajilli ya kupumzika. Huwa unaenda wapi kupunga upepo?

Binadamu sio kisiwa kwamba kila kitu awe nacho sehemu moja muda mwingine kubadilisha mazingira ni muhimu kwa afya ya akili
Ndio maana MO alikamatwa akiwa anaenda gym sio kwamba anashindwa kuiweka nyumbani kwake
Hilo sikatai, lakini nyumba yako na backyard yako ni muhimu sana kwa outdoor na indoor recreational activities
 
Mbona Zanzibar tu hapo zipo recreation parks nzuri tu na ili ujue tu watu wanazipenda sana. Nilikuwa naona jinsi mida ya mchana na jioni, weekends watu wanavyoenda kupumzisha akili zao huko.
Hapo sawa kama ni recreation park, ila mimi ukinipeleka bar kuzungumza issue za maana naona michosho sana, mimi kuzungumza na makelele ya muziki mambo ya faragha siwezi na concentration haiwezi kuwa kubwa
 
Hiyo sio solution

Hiyo sio solution
Sometimes kunaboa ....watu wanaviwanja vikubwa kama Mkapa ila bado wanatamani kwenda porini kutuliza akili...Dolly ESTATE..Burka A Town viwanja vikubwa garden nzuri utulivu wa kutosha ila una vunja zizi unakwenda Makuyuni au Kisongo kutuliza akili

Open space ni muhimu sana ....Nairobi Uhuru park utulivuuu wa nguvu ....huku Wajinga na Wabinafsi yamekomba ardhi yote....Dar zamani raha sana Kurasini ilikuwa paradise
Mkuu unapajua Dolly Estate? Kuzuri sana kule.
 
Asubuhi tuu hapa nilikuwa nawaza sehemu ya kwenda kwa ajili ya kukaa pekee yangu hata kwa saa 5 kwa siku nadhani kwa mwezi mzima 😔 mana kuna hali ngumu nnayoipitia kwa sasa hvy nahitaji kuwa pekee yangu.

Nnaishi Manzese sasa huku ni kivumbi, hapa itabidi mpaka niende coco beach.
Kuna sikukuu moja ilinisikitisha sana. Nilipita hapo Manzese darajani kundi la watoto wamekaa kwenye paving chini ya daraja ndio sehemu wanakula sikukuu. Kama kungekuwa na Park mitaa ya kati kwao wasingekuja kukaa barabarani na kuhatarisha maisha yao.
 
Hii kitu nilikua naongea na mtu Jana, Yani hata mazoezi vitu ambavyo ni vya muhimu serikali ilishashindwa kutenga maeneo, ukitaka kufanya jogging labda ufanyie barabarani bodaboda wakupapue
Hiz sidewalks za mwendokasi ni nzr kwa mazoezi. Ila bodaboda sasa . Ndo njia zao na wanaendesha wrong side. Ukikataa kupisha njia hadi unatukanwa
 
Kuna sikukuu moja ilinisikitisha sana. Nilipita hapo Manzese darajani kundi la watoto wamekaa kwenye paving chini ya daraja ndio sehemu wanakula sikukuu. Kama kungekuwa na Park mitaa ya kati kwao wasingekuja kukaa barabarani na kuhatarisha maisha yao.
Pale mpaka magari inabidi yapunguze spidi mana ghafla tuu unaweza kushangaa mtoto yupo chini ya tairi
 
Kwa Tanzania kama mtaa wenu u a open space, inabidi huo mtaa muwe watu wa umoja, maana mkitetereka kidogo tu unashangaa mijitu ishajimilikisha.

Nimeona baadhi ya mitaa ambayo wananchi wake wako serious, wanaziwekea thamani hizi open space kwa kuzipanda garden zenye miti mizuri ya kupumzikia, viwanja vya michezo (vya kueleweka).

Ushauri. Kama mtaani kwenu hizi open space kama bado zipo, unaweza washawishi wakazi kuitisha mkutano na kuvipangia muziendeleze vipi hizi open space? Mfano; kama mfuko wenu upo vizuri mnaweka mchoraji anaplan halafu mnaifanyia utekelezaji.

Hapa ngoja niweke mfano wa jiji la New York, Central park. Watu waliostaharabika wenye akili kubwa ya kutunza mazingira na mipango miji ya kueleweka.

 
Kwa Tanzania kama mtaa wenu u a open space, inabidi huo mtaa muwe watu wa umoja, maana mkitetereka kidogo tu unashangaa mijitu ishajimilikisha.

Nimeona baadhi ya mitaa ambayo wananchi wake wako serious, wanaziwekea thamani hizi open space kwa kuzipanda garden zenye miti mizuri ya kupumzikia, viwanja vya michezo (vya kueleweka).

Ushauri. Kama mtaani kwenu hizi open space kama bado zipo, unaweza washawishi wakazi kuitisha mkutano na kuvipangia muziendeleze vipi hizi open space? Mfano; kama mfuko wenu upo vizuri mnaweka mchoraji anaplan halafu mnaifanyia utekelezaji.

Hapa ngoja niweke mfano wa jiji la New York, Central park. Watu waliostaharabika wenye akili kubwa ya kutunza mazingira na mipango miji ya kueleweka.
View attachment 3002335
View attachment 3002336
Kuna diwani mmoja alikuwa kinondoni alikuwa anaitwa lupiana,ni marehemu sahv
Tulipataga mtonyo anataka
Kuweka mnara wa sim katikati ya uwanja wa kino garden
Watu waliposikia wakamshukia
Akaruka....kiunzi
Haya ma open baadhi watu waliyapigania sana kubaki

Ova
 
L
Nimekaa mitaa mingi maeneo ya kipato cha kati na cha juu hata kufikia kupata kwangu. Changamoto nyingi niliyokumbana nayo ni wakati unatafuta sehemu ukakae peke yako ukatafakari hili na lile. Nyumbani wakati fulani panakuwa na miingiliano mingi ya wife, watoto, jamaa na marafiki au wewe kama baba wakati mwingine unawaachi space wajibinafasi (si unajua dingi akiwepo panakuwa na nidhamu ya woga).

Sasa Bwana nimekuja kuona wengi uishia Bar. Tatizo la Bar lazima uwe na hela ya kukalia siti ya eneo la biashara, hiki ni kipengere wakati mwingine hauko vizuri. Sehemu nyingine ni viwanja vya mipira ambapo hujaa wahuni na teenagers wanaoishi maisha yao panakuwa hapakufai.

Sehemu nyingine zinakuwa mbali na nyumbani ambapo utalazimika kutumia usafiri! Sasa kwa changamoto hii wanajamvi huwa mnafanyaje? Nadhani stress nyingi na maugonvi usababishwa na mtu kukosa mahali pa kupumua! Kwangu anagalau nina "Pub" ambayo sikosi mtu mpya wa kuchill naye kwa kupiga story nikiwa nimeboreka! Wewe huwa unafa

Nimekaa mitaa mingi maeneo ya kipato cha kati na cha juu hata kufikia kupata kwangu. Changamoto nyingi niliyokumbana nayo ni wakati unatafuta sehemu ukakae peke yako ukatafakari hili na lile. Nyumbani wakati fulani panakuwa na miingiliano mingi ya wife, watoto, jamaa na marafiki au wewe kama baba wakati mwingine unawaachi space wajibinafasi (si unajua dingi akiwepo panakuwa na nidhamu ya woga).

Sasa Bwana nimekuja kuona wengi uishia Bar. Tatizo la Bar lazima uwe na hela ya kukalia siti ya eneo la biashara, hiki ni kipengere wakati mwingine hauko vizuri. Sehemu nyingine ni viwanja vya mipira ambapo hujaa wahuni na teenagers wanaoishi maisha yao panakuwa hapakufai.

Sehemu nyingine zinakuwa mbali na nyumbani ambapo utalazimika kutumia usafiri! Sasa kwa changamoto hii wanajamvi huwa mnafanyaje? Nadhani stress nyingi na maugonvi usababishwa na mtu kukosa mahali pa kupumua! Kwangu anagalau nina "Pub" ambayo sikosi mtu mpya wa kuchill naye kwa kupiga story nikiwa nimeboreka! Wewe huwa unafanyaje?
Lodge
 
Kuna diwani mmoja alikuwa kinondoni alikuwa anaitwa lupiana,ni marehemu sahv
Tulipataga mtonyo anataka
Kuweka mnara wa sim katikati ya uwanja wa kino garden
Watu waliposikia wakamshukia
Akaruka....kiunzi
Haya ma open baadhi watu waliyapigania sana kubaki

Ova
Daa Diwan angekunja ml3 ivi, alafu anawaachia msala, Ndio CCM ilivyo
 
Hakuna.. Tanga ni mji uliotengengenezwa na Mjerumani..

Hata kama hujawahi kufika Tanga mwenyeji wako akikuambia anakaa barabara ya Sita nyumba namba 20 utafika bila shida.. Huku kwetu Mwananyamala mpaka uende na mwenyeji wako mara mbili au tatu ndio uijue njia..

Tanga kweli mjerumani alijua kuipangilia..
Naona wote Ni watu wa daslaam humu weng,Emu njooni Tanga mjionee garden ambazo unaweza ukatulia uka-enjoy upepo na kuwazua mambo yako.
Forodhani garden, garden ya mabanda ya papa,garden iliyopo taifa road mkabala na shule ya old Tanga, garden iliyopo Toyota,nenda jet -raskazone ufumweni Kuna makochi na upepo mwanana.
Tanga Raha, mji umepangika hatarii sidhani Kama Kuna mji unafikia Tanga kwa mpangilio.
 
Hakuna.. Tanga ni mji uliotengengenezwa na Mjerumani..

Hata kama hujawahi kufika Tanga mwenyeji wako akikuambia anakaa barabara ya Sita nyumba namba 20 utafika bila shida.. Huku kwetu Mwananyamala mpaka uende na mwenyeji wako mara mbili au tatu ndio uijue njia..

Tanga kweli mjerumani alijua kuipangilia..
Naona wote Ni watu wa daslaam humu weng,Emu njooni Tanga mjionee garden ambazo unaweza ukatulia uka-enjoy upepo na kuwazua mambo yako.
Forodhani garden, garden ya mabanda ya papa,garden iliyopo taifa road mkabala na shule ya old Tanga, garden iliyopo Toyota,nenda jet -raskazone ufumweni Kuna makochi na upepo mwanana.
Tanga Raha, mji umepangika hatarii sidhani Kama Kuna mji unafikia Tanga kwa mpangilio.
 
Nimekaa mitaa mingi maeneo ya kipato cha kati na cha juu hata kufikia kupata kwangu. Changamoto nyingi niliyokumbana nayo ni wakati unatafuta sehemu ukakae peke yako ukatafakari hili na lile. Nyumbani wakati fulani panakuwa na miingiliano mingi ya wife, watoto, jamaa na marafiki au wewe kama baba wakati mwingine unawaachi space wajibinafasi (si unajua dingi akiwepo panakuwa na nidhamu ya woga).

Sasa Bwana nimekuja kuona wengi uishia Bar. Tatizo la Bar lazima uwe na hela ya kukalia siti ya eneo la biashara, hiki ni kipengere wakati mwingine hauko vizuri. Sehemu nyingine ni viwanja vya mipira ambapo hujaa wahuni na teenagers wanaoishi maisha yao panakuwa hapakufai.

Sehemu nyingine zinakuwa mbali na nyumbani ambapo utalazimika kutumia usafiri! Sasa kwa changamoto hii wanajlamvi huwa mnafanyaje? Nadhani stress nyingi na maugonvi usababishwa na mtu kukosa mahali pa kupumua! Kwangu anagalau nina "Pub" ambayo sikosi mtu mpya wa kuchill naye kwa kupiga story nikiwa nimeboreka! Wewe huwa unafanyaje?
Inasikitisha sana. Sehemu zilipangwa ila ujuaji, kukosa ustaarabu, rushwa, ujinga, elimu, uwajibikaji umefanya sehemu zote kuuzwa, kujengwa au kuchukuliwa na chama tawala, na kufanywa watu wa park magari, kujengwa frames na ujinga gani sijuwi!
Bongo ni kichwa maji kabisa...
 
Inasikitisha sana. Sehemu zilipangwa ila ujuaji, kukosa ustaarabu, rushwa, ujinga, elimu, uwajibikaji umefanya sehemu zote kuuzwa, kujengwa au kuchukuliwa na chama tawala, na kufanywa watu wa park magari, kujengwa frames na ujinga gani sijuwi!
Bongo ni kichwa maji kabisa...
Watoto wanaishia kucheza mitaani na vichororoni,na huko wanajifunza michezo ya baba na mama

Ova
 
Hapa unazungumzia parks. Hizo zilikuwepo enzi za Nyerere tatizo wakaja viongozi wanaojiona wajanja kumbe washamba wakauza hizo sehemu zote.
Siyo washamba tu, ni mafala kabisa, waliuza hadi park ya mnazi mmoja na sasa hata kufunguwa hawafungui inafungwa ulisikia wapi city park inafungwa?
 
Back
Top Bottom