Mbaga Jr
JF-Expert Member
- May 28, 2018
- 29,028
- 69,666
Asubuhi tuu hapa nilikuwa nawaza sehemu ya kwenda kwa ajili ya kukaa pekee yangu hata kwa saa 5 kwa siku nadhani kwa mwezi mzima 😔 mana kuna hali ngumu nnayoipitia kwa sasa hvy nahitaji kuwa pekee yangu.
Nnaishi Manzese sasa huku ni kivumbi, hapa itabidi mpaka niende coco beach.
Nnaishi Manzese sasa huku ni kivumbi, hapa itabidi mpaka niende coco beach.