makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 31,583
- 92,670
Nakaa karibu na baharini, nikiona hovyo naenda ufukweni... Japo nina muda sasa sijaenda huko.
Ikiwa nyakati za jioni nachukua viatu vyangu naenda uwanjani kucheza mpira.
Huwa naenjoy mnoo kucheza na vijana, nikifika wananipokea kwa shangwe, naburudika, najisikia faraja kubwa mnoo.
Ikiwa nyakati za jioni nachukua viatu vyangu naenda uwanjani kucheza mpira.
Huwa naenjoy mnoo kucheza na vijana, nikifika wananipokea kwa shangwe, naburudika, najisikia faraja kubwa mnoo.