Mitaa yetu mingi haina nafasi za wazi kwaajilli ya kupumzika. Huwa unaenda wapi kupunga upepo?

Mitaa yetu mingi haina nafasi za wazi kwaajilli ya kupumzika. Huwa unaenda wapi kupunga upepo?

Nina eneo kubwa bro! Zaidi 1200sqm na mita 20 kutoka nyumba yangu nina pub! Naongelea kwa waliowengi na changamoto nilizopitia nyuma kulazimika kujijengea kapub ka kukutana na watu!
Kama una eneo kubwa basi haujalitumia kikamili kwa matumizi kama hayo. Waite watu wakupe plan.

Huko utaenda mara chache kumbuka familia yako inakuhitaji zaidi, sasa tena wewe unapata nafasi unaikimbia?

Au eneo umelimaliza kwa kujenga nyumba za wapangaji?
 
Mi naendaga chini ya Daraja la Kigamboni - sema sometime kuna migambo wakuda huwa wananitimua, na wakinitimua basi napanda zangu gari naenda posta viunga vya Karimjee - sema nako sometime kuna ndege wakuda, wanakunya hao ukikaa vibaya umenyewa, ndio maana natoka hapo naanza kutembeaa na kuzurula kwa miguu, Macho juu nikihesabu floor za maghorofa.
 
Hii kitu nilikua naongea na mtu Jana, Yani hata mazoezi vitu ambavyo ni vya muhimu serikali ilishashindwa kutenga maeneo, ukitaka kufanya jogging labda ufanyie barabarani bodaboda wakupapue
Bodaboda wakupapue[emoji23][emoji23]

Ngoja kwanza serikali ipo bize
 
Kwa hiyo kila wakati ukitaka kutafakari utakuwa unaenda central park?

Jitahidi mnunue maeneo makubwa ndani ya backyard unaweza kuplan maeneo kama hayo ya kupumzika na kutafakari (backyard rest area)

Wakati fulani unaweka BBQ grill yako na vinywaji ukawa unafanya tafrija na familia au ndugu, jamaa na marafiki
Hiyo sio solution
Kwa hiyo kila wakati ukitaka kutafakari utakuwa unaenda central park?

Jitahidi mnunue maeneo makubwa ndani ya backyard unaweza kuplan maeneo kama hayo ya kupumzika na kutafakari (backyard rest area)

Wakati fulani unaweka BBQ grill yako na vinywaji ukawa unafanya tafrija na familia au ndugu, jamaa na marafiki
Hiyo sio solution
Sometimes kunaboa ....watu wanaviwanja vikubwa kama Mkapa ila bado wanatamani kwenda porini kutuliza akili...Dolly ESTATE..Burka A Town viwanja vikubwa garden nzuri utulivu wa kutosha ila una vunja zizi unakwenda Makuyuni au Kisongo kutuliza akili

Open space ni muhimu sana ....Nairobi Uhuru park utulivuuu wa nguvu ....huku Wajinga na Wabinafsi yamekomba ardhi yote....Dar zamani raha sana Kurasini ilikuwa paradise
 
Umeongea kitu cha maana kabisa.

Mm nimepanga single self. Nawaza hivi nikioa na niko humu. Siku nimegombana na Wife. Tunakaaje, maana haiwezekani mtu kakukera na kila ukigeuka unamuona [emoji16]

Space ni kitu cha muhimu sna kwangu. Nitaoa siku uchumi ukiruhusu kupanga nyumba nzima. Ili tukikosana. Akija chumbani naenda sebuleni, akija sebuleni naenda chumbani nafunga mlango [emoji16]
Akikufata na huko ondoka rudi kijijini kwenu 🤣
 
Watu tunajitahidi tupate muda tutulie na familia wewe unaikimbia
Jitafakaroli sana na ubadirikae
Furahia nao sasa hivi wakati Upo na AFYA NGUVU na Uwezo wa kutafuta pesa lakini kubwa zaidi wakati Upo na uhai
Kuna moment katika maisha haziwezi kurudi tena
Jitahidi sana kufurahia MAISHA na watoto wako pamoja
Vile utakavyokuwa nao ndivyo nawe baadae watakuwa na wewe

Mkuu YOU ONLY LIVE TWICE so ENJOY EVERY MOMENT YOU HAVE waache watoto wafurahi na wewe wakati upo hai na afya
Kama unajisikia kutoka na kupumzika toka na familia
Wee hujaelewa mada! Soma vizuri utajua nilichomaanisha!
 
Hiyo sio solution

Hiyo sio solution
Sometimes kunaboa ....watu wanaviwanja vikubwa kama Mkapa ila bado wanatamani kwenda porini kutuliza akili...Dolly ESTATE..Burka A Town viwanja vikubwa garden nzuri utulivu wa kutosha ila una vunja zizi unakwenda Makuyuni au Kisongo kutuliza akili

Open space ni muhimu sana ....Nairobi Uhuru park utulivuuu wa nguvu ....huku Wajinga na Wabinafsi yamekomba ardhi yote....Dar zamani raha sana Kurasini ilikuwa paradise
Mimi sikatai kwenda central park au porini

Lakini je, utaenda kila siku?
 
Nimekaa mitaa mingi maeneo ya kipato cha kati na cha juu hata kufikia kupata kwangu. Changamoto nyingi niliyokumbana nayo ni wakati unatafuta sehemu ukakae peke yako ukatafakari hili na lile. Nyumbani wakati fulani panakuwa na miingiliano mingi ya wife, watoto, jamaa na marafiki au wewe kama baba wakati mwingine unawaachi space wajibinafasi (si unajua dingi akiwepo panakuwa na nidhamu ya woga).

Sasa Bwana nimekuja kuona wengi uishia Bar. Tatizo la Bar lazima uwe na hela ya kukalia siti ya eneo la biashara, hiki ni kipengere wakati mwingine hauko vizuri. Sehemu nyingine ni viwanja vya mipira ambapo hujaa wahuni na teenagers wanaoishi maisha yao panakuwa hapakufai.

Sehemu nyingine zinakuwa mbali na nyumbani ambapo utalazimika kutumia usafiri! Sasa kwa changamoto hii wanajamvi huwa mnafanyaje? Nadhani stress nyingi na maugonvi usababishwa na mtu kukosa mahali pa kupumua! Kwangu anagalau nina "Pub" ambayo sikosi mtu mpya wa kuchill naye kwa kupiga story nikiwa nimeboreka! Wewe huwa unafanyaje?
Nyumbani kwangu kunakitu na mandhari nzuri.
 
Point mkuu hasa mkoa wa Dar uko ovyo sana.

Mm naishi mwananyamala kwa kopa yaani useme utoke home ukapunge japo upepo utaishia Bar au pale kiwanjani makaburini ovyo kabisa.

Mambo ya sehemu za kupumzikia utawapenda wazazibar Huwa hawana stress kabisa na hivi vitu maana Kuna sehemu nyingi sana iwe za private ama public unaenda unatulia zako fresh tu na hulipii hata senti ila kwa bongo serikali wakiona eneo liko wazi utafikir paka kaona samaki lazima amnyakue tu.
 
Ajabu Magomeni tu ndio nimeona kuna public park mji mzima

1716911556974.png

1716911608100.png

1716911659379.png

1716911738334.png
 
Back
Top Bottom