Morning_star
JF-Expert Member
- Apr 21, 2018
- 6,042
- 17,320
- Thread starter
-
- #121
Well said mkuu!Binadamu sio kisiwa kwamba kila kitu awe nacho sehemu moja muda mwingine kubadilisha mazingira ni muhimu kwa afya ya akili
Ndio maana MO alikamatwa akiwa anaenda gym sio kwamba anashindwa kuiweka nyumbani kwake
Hilo sikatai, lakini nyumba yako na backyard yako ni muhimu sana kwa outdoor na indoor recreational activitiesBinadamu sio kisiwa kwamba kila kitu awe nacho sehemu moja muda mwingine kubadilisha mazingira ni muhimu kwa afya ya akili
Ndio maana MO alikamatwa akiwa anaenda gym sio kwamba anashindwa kuiweka nyumbani kwake
Hapo sawa kama ni recreation park, ila mimi ukinipeleka bar kuzungumza issue za maana naona michosho sana, mimi kuzungumza na makelele ya muziki mambo ya faragha siwezi na concentration haiwezi kuwa kubwaMbona Zanzibar tu hapo zipo recreation parks nzuri tu na ili ujue tu watu wanazipenda sana. Nilikuwa naona jinsi mida ya mchana na jioni, weekends watu wanavyoenda kupumzisha akili zao huko.
Unaenda bar kusikiliza amapianoOngera yako huko karibu na ufukwe raha kama zoote! Ukitoka hapo stress zote zimeisha! Mtu huko kinyerezi au tabata utaenda wapi zaid ya bar?
Mkuu unapajua Dolly Estate? Kuzuri sana kule.Hiyo sio solution
Hiyo sio solution
Sometimes kunaboa ....watu wanaviwanja vikubwa kama Mkapa ila bado wanatamani kwenda porini kutuliza akili...Dolly ESTATE..Burka A Town viwanja vikubwa garden nzuri utulivu wa kutosha ila una vunja zizi unakwenda Makuyuni au Kisongo kutuliza akili
Open space ni muhimu sana ....Nairobi Uhuru park utulivuuu wa nguvu ....huku Wajinga na Wabinafsi yamekomba ardhi yote....Dar zamani raha sana Kurasini ilikuwa paradise
Kuna sikukuu moja ilinisikitisha sana. Nilipita hapo Manzese darajani kundi la watoto wamekaa kwenye paving chini ya daraja ndio sehemu wanakula sikukuu. Kama kungekuwa na Park mitaa ya kati kwao wasingekuja kukaa barabarani na kuhatarisha maisha yao.Asubuhi tuu hapa nilikuwa nawaza sehemu ya kwenda kwa ajili ya kukaa pekee yangu hata kwa saa 5 kwa siku nadhani kwa mwezi mzima 😔 mana kuna hali ngumu nnayoipitia kwa sasa hvy nahitaji kuwa pekee yangu.
Nnaishi Manzese sasa huku ni kivumbi, hapa itabidi mpaka niende coco beach.
Hiz sidewalks za mwendokasi ni nzr kwa mazoezi. Ila bodaboda sasa . Ndo njia zao na wanaendesha wrong side. Ukikataa kupisha njia hadi unatukanwaHii kitu nilikua naongea na mtu Jana, Yani hata mazoezi vitu ambavyo ni vya muhimu serikali ilishashindwa kutenga maeneo, ukitaka kufanya jogging labda ufanyie barabarani bodaboda wakupapue
Hii ipo miaka na miaka. Tatizo wameimega upande mmoja wamejenga ofisi za DMDP na upande mwingine wamempa mtu kafanya bar.Ajabu Magomeni tu ndio nimeona kuna public park mji mzima
View attachment 3002103
View attachment 3002108
View attachment 3002110
View attachment 3002111
Pale mpaka magari inabidi yapunguze spidi mana ghafla tuu unaweza kushangaa mtoto yupo chini ya tairiKuna sikukuu moja ilinisikitisha sana. Nilipita hapo Manzese darajani kundi la watoto wamekaa kwenye paving chini ya daraja ndio sehemu wanakula sikukuu. Kama kungekuwa na Park mitaa ya kati kwao wasingekuja kukaa barabarani na kuhatarisha maisha yao.
Kuna diwani mmoja alikuwa kinondoni alikuwa anaitwa lupiana,ni marehemu sahvKwa Tanzania kama mtaa wenu u a open space, inabidi huo mtaa muwe watu wa umoja, maana mkitetereka kidogo tu unashangaa mijitu ishajimilikisha.
Nimeona baadhi ya mitaa ambayo wananchi wake wako serious, wanaziwekea thamani hizi open space kwa kuzipanda garden zenye miti mizuri ya kupumzikia, viwanja vya michezo (vya kueleweka).
Ushauri. Kama mtaani kwenu hizi open space kama bado zipo, unaweza washawishi wakazi kuitisha mkutano na kuvipangia muziendeleze vipi hizi open space? Mfano; kama mfuko wenu upo vizuri mnaweka mchoraji anaplan halafu mnaifanyia utekelezaji.
Hapa ngoja niweke mfano wa jiji la New York, Central park. Watu waliostaharabika wenye akili kubwa ya kutunza mazingira na mipango miji ya kueleweka.
View attachment 3002335
View attachment 3002336
Nimekaa mitaa mingi maeneo ya kipato cha kati na cha juu hata kufikia kupata kwangu. Changamoto nyingi niliyokumbana nayo ni wakati unatafuta sehemu ukakae peke yako ukatafakari hili na lile. Nyumbani wakati fulani panakuwa na miingiliano mingi ya wife, watoto, jamaa na marafiki au wewe kama baba wakati mwingine unawaachi space wajibinafasi (si unajua dingi akiwepo panakuwa na nidhamu ya woga).
Sasa Bwana nimekuja kuona wengi uishia Bar. Tatizo la Bar lazima uwe na hela ya kukalia siti ya eneo la biashara, hiki ni kipengere wakati mwingine hauko vizuri. Sehemu nyingine ni viwanja vya mipira ambapo hujaa wahuni na teenagers wanaoishi maisha yao panakuwa hapakufai.
Sehemu nyingine zinakuwa mbali na nyumbani ambapo utalazimika kutumia usafiri! Sasa kwa changamoto hii wanajamvi huwa mnafanyaje? Nadhani stress nyingi na maugonvi usababishwa na mtu kukosa mahali pa kupumua! Kwangu anagalau nina "Pub" ambayo sikosi mtu mpya wa kuchill naye kwa kupiga story nikiwa nimeboreka! Wewe huwa unafa
LodgeNimekaa mitaa mingi maeneo ya kipato cha kati na cha juu hata kufikia kupata kwangu. Changamoto nyingi niliyokumbana nayo ni wakati unatafuta sehemu ukakae peke yako ukatafakari hili na lile. Nyumbani wakati fulani panakuwa na miingiliano mingi ya wife, watoto, jamaa na marafiki au wewe kama baba wakati mwingine unawaachi space wajibinafasi (si unajua dingi akiwepo panakuwa na nidhamu ya woga).
Sasa Bwana nimekuja kuona wengi uishia Bar. Tatizo la Bar lazima uwe na hela ya kukalia siti ya eneo la biashara, hiki ni kipengere wakati mwingine hauko vizuri. Sehemu nyingine ni viwanja vya mipira ambapo hujaa wahuni na teenagers wanaoishi maisha yao panakuwa hapakufai.
Sehemu nyingine zinakuwa mbali na nyumbani ambapo utalazimika kutumia usafiri! Sasa kwa changamoto hii wanajamvi huwa mnafanyaje? Nadhani stress nyingi na maugonvi usababishwa na mtu kukosa mahali pa kupumua! Kwangu anagalau nina "Pub" ambayo sikosi mtu mpya wa kuchill naye kwa kupiga story nikiwa nimeboreka! Wewe huwa unafanyaje?
Daa Diwan angekunja ml3 ivi, alafu anawaachia msala, Ndio CCM ilivyoKuna diwani mmoja alikuwa kinondoni alikuwa anaitwa lupiana,ni marehemu sahv
Tulipataga mtonyo anataka
Kuweka mnara wa sim katikati ya uwanja wa kino garden
Watu waliposikia wakamshukia
Akaruka....kiunzi
Haya ma open baadhi watu waliyapigania sana kubaki
Ova
Naona wote Ni watu wa daslaam humu weng,Emu njooni Tanga mjionee garden ambazo unaweza ukatulia uka-enjoy upepo na kuwazua mambo yako.
Forodhani garden, garden ya mabanda ya papa,garden iliyopo taifa road mkabala na shule ya old Tanga, garden iliyopo Toyota,nenda jet -raskazone ufumweni Kuna makochi na upepo mwanana.
Tanga Raha, mji umepangika hatarii sidhani Kama Kuna mji unafikia Tanga kwa mpangilio.
Naona wote Ni watu wa daslaam humu weng,Emu njooni Tanga mjionee garden ambazo unaweza ukatulia uka-enjoy upepo na kuwazua mambo yako.
Forodhani garden, garden ya mabanda ya papa,garden iliyopo taifa road mkabala na shule ya old Tanga, garden iliyopo Toyota,nenda jet -raskazone ufumweni Kuna makochi na upepo mwanana.
Tanga Raha, mji umepangika hatarii sidhani Kama Kuna mji unafikia Tanga kwa mpangilio.
Hzo sehemu nilizotaja nying zpo katikti ya mji na sio beach mkuuUkiongea hivyo nasisi tutakwambia tuna mwambao wa beaches kwa wakazi O'bay, masaki, Mikocheni, kawe! Tunaongelea walio wengi kwenye viunga vya jiji!
Inasikitisha sana. Sehemu zilipangwa ila ujuaji, kukosa ustaarabu, rushwa, ujinga, elimu, uwajibikaji umefanya sehemu zote kuuzwa, kujengwa au kuchukuliwa na chama tawala, na kufanywa watu wa park magari, kujengwa frames na ujinga gani sijuwi!Nimekaa mitaa mingi maeneo ya kipato cha kati na cha juu hata kufikia kupata kwangu. Changamoto nyingi niliyokumbana nayo ni wakati unatafuta sehemu ukakae peke yako ukatafakari hili na lile. Nyumbani wakati fulani panakuwa na miingiliano mingi ya wife, watoto, jamaa na marafiki au wewe kama baba wakati mwingine unawaachi space wajibinafasi (si unajua dingi akiwepo panakuwa na nidhamu ya woga).
Sasa Bwana nimekuja kuona wengi uishia Bar. Tatizo la Bar lazima uwe na hela ya kukalia siti ya eneo la biashara, hiki ni kipengere wakati mwingine hauko vizuri. Sehemu nyingine ni viwanja vya mipira ambapo hujaa wahuni na teenagers wanaoishi maisha yao panakuwa hapakufai.
Sehemu nyingine zinakuwa mbali na nyumbani ambapo utalazimika kutumia usafiri! Sasa kwa changamoto hii wanajlamvi huwa mnafanyaje? Nadhani stress nyingi na maugonvi usababishwa na mtu kukosa mahali pa kupumua! Kwangu anagalau nina "Pub" ambayo sikosi mtu mpya wa kuchill naye kwa kupiga story nikiwa nimeboreka! Wewe huwa unafanyaje?
Watoto wanaishia kucheza mitaani na vichororoni,na huko wanajifunza michezo ya baba na mamaInasikitisha sana. Sehemu zilipangwa ila ujuaji, kukosa ustaarabu, rushwa, ujinga, elimu, uwajibikaji umefanya sehemu zote kuuzwa, kujengwa au kuchukuliwa na chama tawala, na kufanywa watu wa park magari, kujengwa frames na ujinga gani sijuwi!
Bongo ni kichwa maji kabisa...
Siyo washamba tu, ni mafala kabisa, waliuza hadi park ya mnazi mmoja na sasa hata kufunguwa hawafungui inafungwa ulisikia wapi city park inafungwa?Hapa unazungumzia parks. Hizo zilikuwepo enzi za Nyerere tatizo wakaja viongozi wanaojiona wajanja kumbe washamba wakauza hizo sehemu zote.