Mitandao ina nguvu; hatimaye Azam TV wamekuwa waungwana kwenye Krismasi ya mwaka huu 2023

Mlalamikaji daily

JF-Expert Member
Joined
May 19, 2014
Posts
744
Reaction score
1,621
Kwa wafuatiliaji wa Azam tv watakumbuka miaka ya nyuma ilikuwa ni ngumu Azam tv kuipa airtime Christmas kama ambavyo ilikuwa inafanya kwenye sikukuu ya IDDI

Basi wakulungwa walimaindi sana ikiwemo kushusha nyuzi humu kuhusu Azam tv na udini..

Kwa mfano mwaka jana Azam walikuwa wanakwepa makusudi neno "Christmas" na badala yake wakatumia neno sikukuu "Tunawatakia Heri ya sikukuu na mwaka mpya"

Lakini mwaka huu CHRISTMAS imetaradadi huko Azam tv.

Basi burdani kwa wote.
 
Yaan hata kama walifanya bahat mbaya itaonekana walikusudia tu. Mwaka juz nao vipi mkuu? Waliweka au hawakuweka?
 
Wataje wasitaje Yesu anabaki ni yeye jana leo na hata milele
 
Tena wanaweka na ile movie yao ya vikatuni ione leo usiku naomba nipate nguvu ya kuiangalia maana mimi na Bongo movie ni maji na mafuta
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…