Mitandao na vyombo vya habari vya nje vinaandika 'mpinzani mkubwa wa Magufuli apigwa risasi'

Mitandao na vyombo vya habari vya nje vinaandika 'mpinzani mkubwa wa Magufuli apigwa risasi'

Wewe unadhani hawa wapiga dili wenye nywele za midoli waliojificha kwenye kichaka chenye jina la wafadhili na wawekezaji wataandika vipi??
Kwa hiyo kwa andiko lako hili ni kwamba Lissu hakupigwa risasi? Si kweli kwamba amekwaruzana sana na Magufuli kiasi kwamba amekamatwa mara kadhaa na kuwekwa rumande? Kwa hiyo wangeandika kinyume cha mambo yanavyotukia?
 
Wewe unadhani hawa wapiga dili wenye nywele za midoli waliojificha kwenye kichaka chenye jina la wafadhili na wawekezaji wataandika vipi?? sidhani kama wao wanamjua Magufuli zaidi yetu sisi anayetutawala pia tatizo Watanganyika wengi kwa kufata ushabiki wanashindwa kujua nchi hii inapigana vita gani kwa sasa kwenye vita mbinu zote utumika kwa adui kuweza kugawanya au kukatisha tamaa mm sidhani kama Lissu alikuwa ni threat kuanzia kiuchumi,kijamii au kiusalama namna hyo mm naamini wenzetu wameamua kupigana vita vyingine vita ambayo ni mbaya sana yote ni kumfrustrate na kumchafua kiongozi wetu mbele ya jamii za kistarabu duniani namwonea huruma sana Rais wangu anapambana na watu wenye kila mbinu ikiwamo za kimafia Wacanada kupitia makampuni yao ya Goldcorp,Barrick Gold,Eldorado Gold,Yamana Gold na Kinross Gold ndio wamiliki na wauzaji wa karibu 85% ya dhahabu yote duniani huku
De Beers Group of Company ambao kwa sasa ndio wamiliki wa mgodi wa diamond wao wanamiliki 90% ya soko la Almasi duniani so naona vita tunayopigana sasa ni ngumu kwani siku zote matajiri wakiona fedha imeshindwa kufanya ushawishi au kazi njia pekee wanayotumia ni umafia tu
Wakati mwingine kauli,na namna uhalifu unavyo shuhulikiwa pia kuna viashiria vingi sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Vyombo vya habari ni vyao, inakuwaje unawapangia cha kuandika?!
Pili kwa wanavyomfanyia Lissu na wapinzani kwa ujumla ulitegemea waandikeje?!
Kama kuchafuka tulishachafuka kitambo.., mshaurini tu huyo anayejitapa hashauriwi na mtu ili aongoze kwa kufuata misingi ya haki na katiba!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
hiyoo ni mipango ya ACCACIA kumchafua rais si mlisema kuna mjeshi kutoka majuu aliyeshindakana dunia nzima..kashuka bongo hii ndio kazi yake maana sasa wananchi wote wa tanzania wanaanza kumulaani magufuli na badala watu warudi kwenye issue ya ACCACIA wanaanza kuwaza shambulio la lissu hebu fikiria kama serikali ya jpm ingeamua kumua lissu mbona ingemuua siku nyingi....iweje leo wakati lipoti ya almasi inatoka...mfikirie saana kwa makini....only smart people will understand this

bado tuko hai tatizo ajira
Pasua kichwa hii issue
 
Vyombo vya habari ni vyao, inakuwaje unawapangia cha kuandika?!
Pili kwa wanavyomfanyia Lissu na wapinzani kwa ujumla ulitegemea waandikeje?!
Kama kuchafuka tulishachafuka kitambo.., mshaurini tu huyo anayejitapa hashauriwi na mtu ili aongoze kwa kufuata misingi ya haki na katiba!!

Sent using Jamii Forums mobile app
Hata sisi kulikuwa tanayaandika mabaya ya Mobutu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
hiyoo ni mipango ya ACCACIA kumchafua rais si mlisema kuna mjeshi kutoka majuu aliyeshindakana dunia nzima..kashuka bongo hii ndio kazi yake maana sasa wananchi wote wa tanzania wanaanza kumulaani magufuli na badala watu warudi kwenye issue ya ACCACIA wanaanza kuwaza shambulio la lissu hebu fikiria kama serikali ya jpm ingeamua kumua lissu mbona ingemuua siku nyingi....iweje leo wakati lipoti ya almasi inatoka...mfikirie saana kwa makini....only smart people will understand this

bado tuko hai tatizo ajira
smart people ??? embu acheni conspirancy theory za kitoto!! lisu alishasema ametishiwa kuuawa toka january je makinikia yalikuwa yamekamatwa??

nape kasema hilo gari pia lilikuwa linamfuatilia je nape naye angepigwa risasi hyo cku ingekuwa na ACACIA??

kma ni kumgombanisha magufuli na raia kwanni wasimuue lowasa ama mbowe why lisu wakati magufuli katoka kutoa kauli siku ya almasi anasema "DAWA YA WASALITI WOTE TUNAIJUA".... je kwani tusiamini hyo ndio ilikuwa dawa kwa lisu.???

embu acheni utoto na je IMMA advocates nayo ni acacia??? roma?? nchi hii bhana maana hatuendelei vitu viko wazi mnajifanya security experts utafkiri upo mossad vile
 
hiyoo ni mipango ya ACCACIA kumchafua rais si mlisema kuna mjeshi kutoka majuu aliyeshindakana dunia nzima..kashuka bongo hii ndio kazi yake maana sasa wananchi wote wa tanzania wanaanza kumulaani magufuli na badala watu warudi kwenye issue ya ACCACIA wanaanza kuwaza shambulio la lissu hebu fikiria kama serikali ya jpm ingeamua kumua lissu mbona ingemuua siku nyingi....iweje leo wakati lipoti ya almasi inatoka...mfikirie saana kwa makini....only smart people will understand this

bado tuko hai tatizo ajira
ingi....iweje leo wakati lipoti ya almasi inatoka...mfikirie saana kwa makini....only smart people will understand this

bado tuko hai tatizo ajira[/QUOTE]
kumchafua Rais??? embu acheni conspirancy theory za kitoto!! lisu alishasema ametishiwa kuuawa toka january je makinikia yalikuwa yamekamatwa??

nape kasema hilo gari pia lilikuwa linamfuatilia je nape naye angepigwa risasi hyo cku ingekuwa na ACACIA??

kma ni kumgombanisha magufuli na raia kwanni wasimuue lowasa ama mbowe why lisu wakati magufuli katoka kutoa kauli siku ya almasi anasema "DAWA YA WASALITI WOTE TUNAIJUA".... je kwani tusiamini hyo ndio ilikuwa dawa kwa lisu.???

embu acheni utoto na je IMMA advocates nayo ni acacia??? roma?? nchi hii bhana maana hatuendelei vitu viko wazi mnajifanya security experts utafkiri upo mossad vile
 
hiyoo ni mipango ya ACCACIA kumchafua rais si mlisema kuna mjeshi kutoka majuu aliyeshindakana dunia nzima..kashuka bongo hii ndio kazi yake maana sasa wananchi wote wa tanzania wanaanza kumulaani magufuli na badala watu warudi kwenye issue ya ACCACIA wanaanza kuwaza shambulio la lissu hebu fikiria kama serikali ya jpm ingeamua kumua lissu mbona ingemuua siku nyingi....iweje leo wakati lipoti ya almasi inatoka...mfikirie saana kwa makini....only smart people will understand this

bado tuko hai tatizo ajira
ACCACIA? Waliingiaje nchini? Nani aliwaleta? Walijipa wenyewe hiyo migodi? Wa kulaumiwa kuingia nao mikataba hafahamiki? Iweje wengine wanaonekana watetezi wao wakati waliingia nao mikataba wanafamika?
 
Hii Vita tuliitaka wenyewe. Haina haja ya kulia lia hapa.
Nakumbuka kipindi wapinzani wakiitaka serikali kuweka mikataba ya madini na gesi wazi.

Kwakua tulijawa na uchama na sio uzalendo kwa taifa letu, tulitumia nguvu nyingi kuwashambulia hawa wapinzani ili waonekane hawafai.

Leo tunaiita vita na kuwaita sio wazalendo hawa waliolaza sauti zao.

Kwakua huo ni msiba wa kujitakia, basi hakikisheni mnashinda maana mlisaini wenyewe hiyo mikataba gizani huku mkipiga makofi na kuwazomea wenye maono

Sent using Jamii Forums mobile app
Nusuhela ulishaamini kuwa Mungu yupo? Amini amini nakwambia, Mungu yupo na ndiye aliemponya Tundu Lissu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
hiyoo ni mipango ya ACCACIA kumchafua rais si mlisema kuna mjeshi kutoka majuu aliyeshindakana dunia nzima..kashuka bongo hii ndio kazi yake maana sasa wananchi wote wa tanzania wanaanza kumulaani magufuli na badala watu warudi kwenye issue ya ACCACIA wanaanza kuwaza shambulio la lissu hebu fikiria kama serikali ya jpm ingeamua kumua lissu mbona ingemuua siku nyingi....iweje leo wakati lipoti ya almasi inatoka...mfikirie saana kwa makini....only smart people will understand this

bado tuko hai tatizo ajira




Lipoti/ripoti/report.... Sahihisha mkuu
 
Back
Top Bottom