Mitandao ya kijamii inatufanya tuishi maisha ya kufikirika, rasmi naanza maisha mengine

Mitandao ya kijamii inatufanya tuishi maisha ya kufikirika, rasmi naanza maisha mengine

Halafu wenzetu waliogundua hiyo mitandao hawatumii kwa kiasi kikubwa hivyo

Kitu kingine kinachopumbaza watu duniani ni Football na Betting

Mpira wa miguu na kamari inawapumbaza vijana wengi hata hawafikirii kuhusu kulima wala kutumia resources zilizopo katika ardhi yao.
Mafreemason yapo at work 😝
 
Back
Top Bottom