chizcom
JF-Expert Member
- Jul 31, 2016
- 8,680
- 18,035
Ili kupata watumiaji wengi mitandao ya kijamii imekuwa ikivutia watu wengi kwa malipo ya maudhui na idadi ya wafuasi waliopo kwenye maudhui.
Kutokana na sisi kulala na yeye jamiiforum kuzidi kuchuma kwetu maudhui bila malipo kutungwe sheria ili kulipwa kwa wanaotoa maudhui.
Yeye anafaidika na matangazo na bandwith kubwa anayopata.
Mfano lucas mshamba anavyotoa habari za raisi samia hata teuzi kupewa hapewi basi muwe mna walipa.
Mnawakatisha watu tamaa.
Kutokana na sisi kulala na yeye jamiiforum kuzidi kuchuma kwetu maudhui bila malipo kutungwe sheria ili kulipwa kwa wanaotoa maudhui.
Yeye anafaidika na matangazo na bandwith kubwa anayopata.
Mfano lucas mshamba anavyotoa habari za raisi samia hata teuzi kupewa hapewi basi muwe mna walipa.
Mnawakatisha watu tamaa.