Uchaguzi 2020 Mitandao ya kijamii Tanzania yawa restricted. YouTube, WhatsApp, Twitter, JamiiForums na Telegram zimeguswa - Oktoba 27, 2020

Uchaguzi 2020 Mitandao ya kijamii Tanzania yawa restricted. YouTube, WhatsApp, Twitter, JamiiForums na Telegram zimeguswa - Oktoba 27, 2020

Na jf vipi, si ajabu tukasikia imepata shambulizi la ghafla...
 
Aisee, hawa jamaa sijawahi ona.

Miaka ya nyuma ilikuwa wanahangaika na JF siku kama hizi, leo naona wametanua wigo.
Watu wanafuatilia mitandao ya jamii kuliko tv na radio zao.

Kwahiyo wameamua kuja kuziba access ya mitandao.
 
Back
Top Bottom