Mitandao ya kijamii WhatsApp, Facebook na Instagram ilitoweka hewani, yarejea tena (19/03/2021)

Mitandao ya kijamii WhatsApp, Facebook na Instagram ilitoweka hewani, yarejea tena (19/03/2021)

chief_

JF-Expert Member
Joined
Dec 14, 2017
Posts
830
Reaction score
1,395
Tupeane updates...

Ni makampuni ya Facebook pekee au! Au wamefanya yao 'wazee'
=====

Mitandao ya kijamii WhatsApp, Facebook na Instagram yatoweka hewani muda huu.

Mtandao wa Facebook ambao ndio mmiliki wa mitandao hiyo hawajatoa taarifa yoyote kwa wateja wao mpaka sasa.

1616178859886.png

=====
Baada ya mitandao hiyo kupetea hewani kwa muda mfupi, sasa yarejea tena.
 
Mbona izo ista na whatsup kwangu zipo fresh tu kila kitu sawa
 
Back
Top Bottom