chief_ JF-Expert Member Joined Dec 14, 2017 Posts 830 Reaction score 1,395 Mar 19, 2021 #1 Tupeane updates... Ni makampuni ya Facebook pekee au! Au wamefanya yao 'wazee' ===== Mitandao ya kijamii WhatsApp, Facebook na Instagram yatoweka hewani muda huu. Mtandao wa Facebook ambao ndio mmiliki wa mitandao hiyo hawajatoa taarifa yoyote kwa wateja wao mpaka sasa. ===== Baada ya mitandao hiyo kupetea hewani kwa muda mfupi, sasa yarejea tena.
Tupeane updates... Ni makampuni ya Facebook pekee au! Au wamefanya yao 'wazee' ===== Mitandao ya kijamii WhatsApp, Facebook na Instagram yatoweka hewani muda huu. Mtandao wa Facebook ambao ndio mmiliki wa mitandao hiyo hawajatoa taarifa yoyote kwa wateja wao mpaka sasa. ===== Baada ya mitandao hiyo kupetea hewani kwa muda mfupi, sasa yarejea tena.
Mjomba Fujo JF-Expert Member Joined Oct 27, 2012 Posts 2,438 Reaction score 6,313 Mar 19, 2021 #2 Instagram no access Twitter no access Telegram ipo hewani
Juandeglo JF-Expert Member Joined Dec 20, 2014 Posts 1,040 Reaction score 2,806 Mar 19, 2021 #3 chief_ said: Tupeane updates... Click to expand... I think na insta pia
Artifact Collector JF-Expert Member Joined Mar 7, 2019 Posts 6,617 Reaction score 10,205 Mar 19, 2021 #4 Imestuck wanazingua sana
chief_ JF-Expert Member Joined Dec 14, 2017 Posts 830 Reaction score 1,395 Mar 19, 2021 Thread starter #5 Mjomba Fujo said: Instagram no access Twitter no access Telegram ipo hewani Click to expand... Na jf Twita iko hewani ...View attachment 1729577
Mjomba Fujo said: Instagram no access Twitter no access Telegram ipo hewani Click to expand... Na jf Twita iko hewani ...View attachment 1729577
M mama kubwa JF-Expert Member Joined Nov 3, 2010 Posts 6,230 Reaction score 9,889 Mar 19, 2021 #6 Wake Wachukue na Tecno zetu 😂😂😂
Midekoo JF-Expert Member Joined Mar 30, 2015 Posts 45,757 Reaction score 246,786 Mar 19, 2021 #7 Mwendo wa kuomboleza
chief_ JF-Expert Member Joined Dec 14, 2017 Posts 830 Reaction score 1,395 Mar 19, 2021 Thread starter #8 Beef lasagna said: Mwendo wa kuomboleza Click to expand... Kuomboleza kwa lazima... Nchii hii... Na kosa lile tamko watu wangekula bata
Beef lasagna said: Mwendo wa kuomboleza Click to expand... Kuomboleza kwa lazima... Nchii hii... Na kosa lile tamko watu wangekula bata
mjombakim JF-Expert Member Joined Sep 10, 2017 Posts 1,193 Reaction score 1,854 Mar 19, 2021 #9 Bila shaka kiongozi mpya wa malaika amesha fanya yake huko mbinguni!
Shadow7 JF-Expert Member Joined Sep 28, 2020 Posts 24,606 Reaction score 39,289 Mar 19, 2021 #10 Dah! itakua
Fekifeki JF-Expert Member Joined Nov 18, 2011 Posts 1,504 Reaction score 632 Mar 19, 2021 #11 chief_ said: Tupeane updates... Ni makampuni ya Facebook pekee au! Au wamefanya yao 'wazee' Click to expand... Mbona huku Arusha ipo Safi mkuu
chief_ said: Tupeane updates... Ni makampuni ya Facebook pekee au! Au wamefanya yao 'wazee' Click to expand... Mbona huku Arusha ipo Safi mkuu
Koffi Annan JF-Expert Member Joined Dec 23, 2018 Posts 1,771 Reaction score 5,087 Mar 19, 2021 #12 Apa whatsapp imezima
chief_ JF-Expert Member Joined Dec 14, 2017 Posts 830 Reaction score 1,395 Mar 19, 2021 Thread starter #13 Fekifeki said: Mbona huku Arusha ipo Safi mkuu Click to expand... Haiwezekani
naa JF-Expert Member Joined May 5, 2013 Posts 791 Reaction score 1,074 Mar 19, 2021 #14 Nimehangaika ku restart cm dah! Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
donlucchese JF-Expert Member Joined Mar 23, 2011 Posts 17,128 Reaction score 21,885 Mar 19, 2021 #15 Hapa wazee wa Tele na Wire tunapepea tu
chief_ JF-Expert Member Joined Dec 14, 2017 Posts 830 Reaction score 1,395 Mar 19, 2021 Thread starter #17 naa said: Nimehangaika ku restart cm dah! Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app Click to expand... [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] hukuangalia na bando?
naa said: Nimehangaika ku restart cm dah! Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app Click to expand... [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] hukuangalia na bando?
ibramy JF-Expert Member Joined Jul 23, 2019 Posts 642 Reaction score 967 Mar 19, 2021 #18 Mbona izo ista na whatsup kwangu zipo fresh tu kila kitu sawa
Mjomba Fujo JF-Expert Member Joined Oct 27, 2012 Posts 2,438 Reaction score 6,313 Mar 19, 2021 #19 Ni tatizo la sehemu nyingi duniani sio bongo tu.
chief_ JF-Expert Member Joined Dec 14, 2017 Posts 830 Reaction score 1,395 Mar 19, 2021 Thread starter #20 donlucchese said: Hapa wazee wa Tele na Wire tunapepea tu Click to expand... Connection zinaendelea