Mitandao ya kuingia kila siku

Mitandao ya kuingia kila siku

Lububi

JF-Expert Member
Joined
May 3, 2013
Posts
2,158
Reaction score
3,808
Kijana wangu kafikisha miaka 18 na smartphone juu.
Naomba orodha ya mitandao ya kujenga ambayo isipite siku mwenye maono hajapita.
Binafs huwa nikipekua JF huwa najiaminisha nimejua yanayojiri siku hiyo!
Milengo ni siasa(nje na ndan), uchumi, biashara, technolojia/ubunifu na afya.
 
Back
Top Bottom