Mitandao ya simu imesitisha mabadiliko ya bei za Vifurushi

Jinga kubwa kabisa.ambaye amesitisha ni halotel tuu.wengine wameshatoa jinsi vifurushi vinavyotakiwa.kwingine wanaweka airtime tu bila SMS wala mb
Anahisi kila kitu ni ushabiki wa vyama vyao hivyo visivyo na mbele wala nyuma.
 
Sidhani ni kila mtu anaweza kusifia kitu kitakachomuuza . Miradi ni mizuri ila isiwe mzigo kwa raia....
Kwa mtazamo wako huo sina tatizo na hoja yako. Upo sawa. Sasa tuachane nayo? Ataeleweka au atakuwa anahujumu legacy?
 
Mie alivyompeleka Mwigulu Fedha MTU mwenye Tabia za kuumiza, kuua, kutesa nikajua huyu Bibi Tarabushi hata yeye ana roho hiyohiyo anajificha kwenye ushungi.
 
Mzee baba kumbe nawe kama mimi,lile bando la Airtel kipindi kile usiku bure ilikuwa poa sana yaani,haitakuja kutokea tena katika maisha yetu hapa duniani......
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…