Mitandao ya simu imesitisha mabadiliko ya bei za Vifurushi

Mitandao ya simu imesitisha mabadiliko ya bei za Vifurushi

Psychology inasema kwamba wanawake wana roho mbaya/ngumu kuliko wanaume.

Bora ukutane na Sadist wanaume watano kuliko sadist mwanamke mmoja.

Hiyo inasababishwa kwakua mwanamke yupo kama Transistor.

Kitu akiamua kukifanya mwanamke kwa akili zake zote anakifanya kwa asilimia 500000%
Don't understimate the mind of Woman

Transistor is a device used to amplify or switch electronic signals and electrical power

Yaani kitu anachofanya mwanaume, mwanamke anaweza kukifanya mara kumi zaidi yake
Lete ushahidi[emoji1]
 
We Ni zezeta dada huwezi kuelewa kitu,we fani yako ni hapo kimboka,

Ukweli msukuma mwenzenu kaifirisi Nchi, Samia anapambana kwa Hali na Mali kuweka mambo sawa,vumilieni sukuma gang
Ww tunisha tu misuli kume mchicha mwiba
 
Juzi tu nimenunua kifurushi internet cha Vodacom cha wiki Tsh 5000 kufika jioni naambiwa kifurushi kimeisha, kujaribu Tigo nao hivyo hivyo... Wizi tu.
I was hoping watu wa IT wanaweza kuutuambia jamaa wanaibaje na kuwa undetected......?!

Maana tunajua wazi kuwa now bundles za internet zinahujumiwa.....
 
HUKU KWENYE MITANDAO YA SIMU SASAHIVI TUNAPIGWA SANA SERIKALI ITAVUNA PESA NYINGI SANA ILI WASIWASI WANGU NI KWAMBA ZITAJENGA BARABARA ZA VIJIJINI NA MADARASA MAANA SAFARI ZIMEKUWA NYINGI.
 
Ukweli Ni kwamba dikteta amefilisi nchi, Samia hastahili lawama, anapambana kwa kila Hali kuhakikisha fedha inapatikana ya kuendesha Nchi, msukuma mwenzenu kaifirisi Nchi
Hivi haiwezekani kuwa kuna watu walitumia zile dakika chache za butwaa ya msiba kutransfer matrilioni ya fedha kisha wakafuta na kubadilisha rekodi za kiasi cha pesa then ndipo bi mkubwa akakuta hali ipo kama unavyosema?!
 
Kwa kweli wamezid kutuonea wananchi wkt wao hawajapunguza matumizi yao.
Na hapa ndipo mjadala mkali ulipo. Yaani hauwezi zungumzia kubana matumizi wakati jamaa wanaharibu hela kwenye mambo yao binafsi wanaishi kwa kujiachia.
 
Sasa kama yule mbwiga Mwigulu ndio mshauri wake mkuu wa maswala ya uchumi , unategemea nini Gavana naye ndiokabisaaaaa analewa mpaka anakunya kwenye nguo mnategemea nini kwenye nchi ya namna hii, labda Yesu arudi tena ndio kutakuwa na mabadiliko yoyote, Mama amefeli mapemaaaaa
Kaka janj weed mbon unamzalilisha mzee wa watu luoga ati analewa Hadi kujinyeaa unamchafua HV unapata faida gani ...wakt wao watu Ni VIP hawako mtaani wako private sna ..Acha uraibu wa kuzalilisha watu
 
Sasahivi nikudemka na chanjo tu tena huko vijijini mmmm ndiyo naniliu wataibukia huko!
 
Kaka janj weed mbon unamzalilisha mzee wa watu luoga ati analewa Hadi kujinyeaa unamchafua HV unapata faida gani ...wakt wao watu Ni VIP hawako mtaani wako private sna ..Acha uraibu wa kuzalilisha watu
Mkuu namuelewa fika anakula whiskey mbaya kabisa na wakati mwingine hata network inakata nimdhalilishe inisaidie nini ndugu? akili anazo ila mayi anakula mayi mingi mno kiufupi ni addiction, kuna siku nilimuasist kabisa kwa kushirikiana na msaidizi wake alikua kaharibu kabisa ila pictures siri yangu hapo ndio nitakua nimemdhalilisha
 
Hahahahaha watu wanakula 18% kwenye collection plates [emoji23][emoji23][emoji23] kuna haja yule bibi aache mambo ya uongozi by 2025 afanye resignation!

Katika kipindi ambacho nchi haina mwenyewe ni hiki!
Kuna umuhimu wa watu kujua mambo ya kitalaam na kuyazungumza kitalaam. Tukisema tubishane nao kwa hasira hatutapata kitu.

Hili taifa halikupatikana kwa misingi ya ugomvi so inabidi tusimamie misingi ile ile.
 
Nimehamahama mitandao kwasababu ya gharama hadi nimechoka, Nilikuwa Voda,niaenda Airtel, Nikaona Airtel uchawi umeingia nikaamua kwenda Halotel,huko nako nikaona sio ishu saa hivi nipo Zantel nako nasikiliza sijui itakuwaje.
Na hii ni mbaya sana katika issue ya customer care
 
Back
Top Bottom