Avriel
JF-Expert Member
- Jun 25, 2017
- 4,950
- 5,378
Alifirisi nchi Kisha akajiua au sio?Dikteta alifilisi Nchi, mama amekuta hazina nyeupe, we jinga huna ujualo kaa kimiya
Hizi akili umepewa kuandika pumba eeehh?
Kama umeamua kumtetea huyo mama yako hebu mtetee vingine sio kusema pumba usizozielewa.
Kila Rais anaeingia madarakani mnajipea kazi ya kutetea ujinga tu,lini aligombea huyo mama yako kiasi Cha kusema aliemrithi kiti alijiandaa kumaliza hazina ili ajae akute hakuna kitu?
Alipomaliza hiyo hazina Kama asingekufa yeye angeendelea kuendesha vipi nchi?
Tumia akili kwa faida jinga wewe.