Malume
JF-Expert Member
- Dec 29, 2013
- 1,016
- 1,886
Mama hana uwezo kabisaYale maneno wanawake wanaweza yashaisha anatia hasira sana ila she is clueless si aachie ngazi jamani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mama hana uwezo kabisaYale maneno wanawake wanaweza yashaisha anatia hasira sana ila she is clueless si aachie ngazi jamani
Wanatuchezea koochi koochi hawaMabadiliko ya vifurushi yaliyo paswa kufanyika leo tarehe 16/08/2021 yamesitishwa kwa mitandao yote hapa nchini. Hivyo kama kutatokea mabadiliko mengine mteja atajulishwa...
Hapo ndipo chuki itapomea! Kuna wajinga wachache wanaishi kama malaika in expense of us!Soon watu watafanya mambo. Sababu i see the worst days kwa vijana wa sasa watapofika retirement age 15 to 30 years from now.....
Kilikuwa kipigo cha mbwa koko yani so mama kaona wananchi watamuibukia Ikulu 😂😂😂😂😂😂Wiki hii karibia makampuni yote ya Simu yalikuwa yalikuwa yakisambaza jumbe fupi za kuwa kuanzia tarehe 16/8 kutakuwa na mabadiliko ya vifurushi.
Haikujulikana yangekuwa mabadiliko ya punguzo ama nyongeza ya bei...
Naona wanapima upepoWanatuchezea koochi koochi hawa
Hahah imagine hadi makanisa yanakula spana nowSijui wameogopa nini tena?!
Duuuh DAP 105k wapi huko?Tunaishi kama misukule kwasasa.... Tangu mzee baba apate pumziko la milele.... Tumekuwa kama mbuzi tunaosubiri kuchinjwa siku ya tambiko.... It's horrible... Huku mfuko wa mbolea wa DAP uliokuwa ukinunuliwa 55,000/= sasa hivi ni 105,000/=.
Ni dunia ya Tz tu ndio ya kishambaNilikuwa nataka nijiunge bundle la mwezi Leo, yaani tungekutana tena September huko, maphisaoo.!!
Sema mambo ya 'hii dunia' yanapelekwa kwa kuyumbayumba mno..! Mungu atusaidie tu..!!
Haya mambo yapo Tz tu. Nchi ya kishamba sana hiiWanasikilizia uraiani
-tozo
-mafuta yote juu
-sabuni juu
-gesi juu
Pongezi kwenu wapangaji wa haya mambo
😂😂😂😂😂😂😂 hapo kwenye kukubaliana na hali ndio pagumu! Mtu ana 0 unataka achangie 10 inawezekanaje?Serikali inataka kodi.
Hazina hakuna pesa, miradi ipo mikubwa, wafanyabiashara walishakamuliwa hawana cha kutoa labda uwafilisi wote, deni la taifa ni kubwa, bado nchi inataka maji, umeme, barabara...
Huu mdumange hadi laha ujueUnajua hii haijakaa sawa kabisa na sio nzuri kibiashara. Haya ndio madhara ya kuchanganya siasa chafu za chama kisichojitambua uelekeo wake kiutendaji na shughuli serious za kiuchumi. View attachment 1893695
Ndio, bundle za internet zimebadilika hovyo hovyoKweli?!
Tulipe kodi.Uongo mtupu
Wale wenye 10,000 sasa hivi wanafanana na mashetani na wao hawana.😂😂😂😂😂😂😂 hapo kwenye kukubaliana na hali ndio pagumu! Mtu ana 0 unataka achangie 10 inawezekanaje?
Yule mwenye 10000 kuchangia 10 its possible