Mitandao ya simu imesitisha mabadiliko ya bei za Vifurushi

Mitandao ya simu imesitisha mabadiliko ya bei za Vifurushi

Yaani taasisi ya urais iendeshwe kwa mawazo ya mke na mme? Unajua humu watu ni watupu Sana kichwani mwao,wanadhani nchi Ni familia ,
Bila ya kuwa na familia imara,huwezi kuwa na taasisi imara kumbuka siku zote hilo nakuambia!!
 
Nilishangaa sana Mama kukubali kupandisha kodi ya mafuta na Mpesa nilishangaa sana nikasema hata kama Mwigulu hana uwezo wa kumshauri vizuri na yeye haoni madhara kabisa ya kupandisha hizo bidhaa kwa muda mrefu nilimuamini na dhamana ningempa daah kweli kiboko...mbolea huko hainunuliki kabisaa pamoja na bidhaa zingine sijui wao wanafikiria nini...
 
Sasa kama yule mbwiga Mwigulu ndio mshauri wake mkuu wa maswala ya uchumi , unategemea nini Gavana naye ndiokabisaaaaa analewa mpaka anakunya kwenye nguo mnategemea nini kwenye nchi ya namna hii, labda Yesu arudi tena ndio kutakuwa na mabadiliko yoyote, Mama amefeli mapemaaaaa
We Gavana anajinyea!? wacha utani bhana.
 
Tunaishi kama misukule kwasasa.... Tangu mzee baba apate pumziko la milele.... Tumekuwa kama mbuzi tunaosubiri kuchinjwa siku ya tambiko.... It's horrible.

Huku mfuko wa mbolea wa DAP uliokuwa ukinunuliwa 55,000/= sasa hivi ni 105,000/=...
Sisi yetu ni kusema tutamkumbuka
 
Nahisi wamesoma comments za raia mitandaoni wameona yajayo yanatisha jinsi namna raia walivyowaka na kumind na kujiandaa kutoa mitusi.

So wameona mmmmmmhmn hapa kitanuka tusiwajaribu hawa jamaa.
Tatizo liko palepale, wamesitisha vifurushi siyo miamala. Tatizo Ni tozo za miamala.
 
ndo mana tuliambiwa tuishi nao kwa akili
kwanini wasingekuwa na dunia yao hawa viumbe waendeshane wenyewe aah wanachosha sana
Bob marley aliimba NO WOMAN NO CRY
Halafu kuna Dunia zingine hazina Watu, kama Mars au wangekaa mwezini angalau.
 
Mi naona kuna mfumuko wa bei unakuja huko mbele tusubr tu
 
Back
Top Bottom