jkipaji
JF-Expert Member
- Sep 22, 2019
- 6,963
- 9,401
Bila ya kuwa na familia imara,huwezi kuwa na taasisi imara kumbuka siku zote hilo nakuambia!!Yaani taasisi ya urais iendeshwe kwa mawazo ya mke na mme? Unajua humu watu ni watupu Sana kichwani mwao,wanadhani nchi Ni familia ,