Mitandao ya simu imesitisha mabadiliko ya bei za Vifurushi

Mitandao ya simu imesitisha mabadiliko ya bei za Vifurushi

We jamaa halafu mimi hiyo text hawajanitumia, au wanachagua? Wanaangalia nyie mnaoongea ongea sana sisi wanyonge wanatuacha tunyongeke??
Wametuma kwa watu wengi sana naona labda wanatuma nyakati tofauti.
 
Mbona hatuongelei swala la kubana matumizi ya serikalini. I mean magari wanayotumia, mishahara na allowances zao mbona huko hatuangalii maana kodi nyingi inakwenda huko na inapotea......

Lakini why wananchi wateseke kwa vitu ambavyo hawakuhimiza vifanyike....?!

Kodi za namna hii ambazo hazizingatii uhalisia zenye kulenga kuumiza raia huwa hazina muendelezo mzuri mwisho wa siku.
Kwa kweli wamezid kutuonea wananchi wkt wao hawajapunguza matumizi yao.
 
Kama vipi waendee kwa babu
Naandika heading yangu wao wanafuta wanaandika yao. Naanza kuhisi kuna demu wangu yupo humo kwenye chumba cha mods....
 
Wanyonge wa mitandaoni wanafurahia tajiri akifungiwa account akafilisiwa akawa kama shetani ila wao wakipewa kakodi kadogo tu kamasi kama zote.

Nchi inataka kodi hii, na wafanyabiashara walishakamuliwa wana madeni ya kodi mengine hayalipiki, deni la taifa ni kubwa, miradi mikubwa sasa tunatoa wapi pesa? Wanyonge ni kujichanga changa mpaka kuwe na maelewano.
Why tulipie sisi sasa na hela hatukuziona zikituhudumia....?!
 
Eti bana kodi hadi kwenye sadaka za waumini.... Umewahi ona wapi hiyo kitu?!
Hahahahaha watu wanakula 18% kwenye collection plates 😂😂😂 kuna haja yule bibi aache mambo ya uongozi by 2025 afanye resignation!

Katika kipindi ambacho nchi haina mwenyewe ni hiki!
 
Usitetee ujinga ni msoga
Wewe ndiye unalazimisha ujinga.
Wa Kudemka yuko kwenye kiti kikatiba, halazimishwi kuupokea ushauri wa mtu yoyote. So anapotekeleza ushauri wa Msoga hiyo sisi tunahesabu ni yeye.
Pia kupokea ushauri wa hovyo inamaanisha nawe ni wa hovyo vilevile
 
Nimehamahama mitandao kwasababu ya gharama hadi nimechoka, Nilikuwa Voda,niaenda Airtel, Nikaona Airtel uchawi umeingia nikaamua kwenda Halotel,huko nako nikaona sio ishu saa hivi nipo Zantel nako nasikiliza sijui itakuwaje.
 
Huu mdumange hadi laha ujue
Imagine umepewa u' CEO wa kampuni kubwa na unategemewa kufanya maamuzi muhimu biashara ilipe halafu unakutana na upuuuuuuzi unaletwa na zinazojiita mamlaka za kiserikali kuharibu mazingira ya kibiashara.
 
Nilikuwa nataka nijiunge bundle la mwezi Leo, yaani tungekutana tena September huko, maphisaoo!

Sema mambo ya 'hii dunia yetu' yanapelekwa kwa kuyumbayumba mno! Mungu atusaidie tu.
Mtandao gani na GB ngapi kwa kiasi gani
 
Nilishangaa sana Mama kukubali kupandisha kodi ya mafuta na Mpesa nilishangaa sana nikasema hata kama Mwigulu hana uwezo wa kumshauri vizuri na yeye haoni madhara kabisa ya kupandisha hizo bidhaa kwa muda mrefu nilimuamini na dhamana ningempa daah kweli kiboko...mbolea huko hainunuliki kabisaa pamoja na bidhaa zingine sijui wao wanafikiria nini...
Mwigulu ni changamoto kiutendaji, hakutakiwa kuwapo pale.......
 
Back
Top Bottom