Mitandao ya simu kazi yake ni mawasiliano, si kutoa huduma za kibenki

Mitandao ya simu kazi yake ni mawasiliano, si kutoa huduma za kibenki

zandrano

JF-Expert Member
Joined
Jan 24, 2017
Posts
7,893
Reaction score
8,816
Kimsingi jukumu la msingi la mitandao ya simu ni kutoa huduma ya mawasiliano kwa wateja wake na sio kutoa huduma za kibenki.

Kimsingi huduma za kibeki, yaani kutuma na kupokea fedha ni jukumu la Mabenki lakini mitandao ya simu imejiongeza tu na kutumia teknolojia ya mawasiliano lakini Mabenki ndio wanapaswa kujihusisha na jukumu la kutuma na kupokea fedha.
 
Kimsingi jukumu la msingi la mitandao ya simu ni kutoa huduma ya mawasiliano kwa wateja wake na sio kutoa huduma za kibenki.

Kimsingi huduma za kibeki, yaani kutuma na kupokea fedha ni jukumu la Mabenki lakini mitandao ya simu imejiongeza tu na kutumia teknolojia ya mawasiliano lakini Mabenki ndio wanapaswa kujihusisha na jukumu la kutuma na kupokea fedha.
kwa hiyo wewe huoni kama wanarahisisha huduma za kifedha, inaonekana umezaliw na umekulia mjini hujafikiria kuhusu wanaokaa vijijini ambako ninauhakika hata baadhi hawazifahamu benki
 
Makampuni ya Simu za mikononi yamesha VUNA vya kutosha.
sasa wakubali yaishe, wasijaribu kuvutana na serikali, maaana tunazo habari za baadhi ya makampuni yakivitumia baadhi ya vyombo vya habari kama vile TV, Radoo, Magazeti na mitandao ya kijamii kujaribu kupotosha ili waendelee kupiga pesa kama kawaida.
Tunasema Mitandao yote ya simu acheni kuihujumu Serikali.
 
Makampuni ya Simu za mikononi yamesha VUNA vya kutosha.
sasa wakubali yaishe, wasijaribu kuvutana na serikali, maaana tunazo habari za baadhi ya makampuni yakivitumia baadhi ya vyombo vya habari kama vile TV, Radoo, Magazeti na mitandao ya kijamii kujaribu kupotosha ili waendelee kupiga pesa kama kawaida.
Tunasema Mitandao yote ya simu acheni kuihujumu Serikali.
Hujaeleweka bado wanaihujumu vipi serekali
 
Kimsingi jukumu la msingi la mitandao ya simu ni kutoa huduma ya mawasiliano kwa wateja wake na sio kutoa huduma za kibenki.

Kimsingi huduma za kibeki, yaani kutuma na kupokea fedha ni jukumu la Mabenki lakini mitandao ya simu imejiongeza tu na kutumia teknolojia ya mawasiliano lakini Mabenki ndio wanapaswa kujihusisha na jukumu la kutuma na kupokea fedha.
Hawa ndio wanaamini upinzani wakichukua nchi kutakua na vita.
 
Kimsingi jukumu la msingi la mitandao ya simu ni kutoa huduma ya mawasiliano kwa wateja wake na sio kutoa huduma za kibenki.

Kimsingi huduma za kibeki, yaani kutuma na kupokea fedha ni jukumu la Mabenki lakini mitandao ya simu imejiongeza tu na kutumia teknolojia ya mawasiliano lakini Mabenki ndio wanapaswa kujihusisha na jukumu la kutuma na kupokea fedha.
Wameomba leseni kufanya hiyo biashara huwezi kuzuia hata yanga au simba kuomba leseni ya kufanya huduma za kibenki wakiamua
 
Unajua maana ya technology? Hata mwanzo wakati wanaanzisha tritel ulikuwa hauwezi kutuma meseji achilia mbali internet.....Lolote linaloweza kufanyika kwenye simu lifanyike tu maana hayo ndio maendeleo! Ndio maana kuna simu zinatumika kama remote za ac/tv!
 
Makampuni ya Simu za mikononi yamesha VUNA vya kutosha.
sasa wakubali yaishe, wasijaribu kuvutana na serikali, maaana tunazo habari za baadhi ya makampuni yakivitumia baadhi ya vyombo vya habari kama vile TV, Radoo, Magazeti na mitandao ya kijamii kujaribu kupotosha ili waendelee kupiga pesa kama kawaida.
Tunasema Mitandao yote ya simu acheni kuihujumu Serikali.
Serikali gani unaongelea?
Maana hii tuliyonayo tayari imesalimu amri, inaenda ku review hizi gharama. Otherwise wakiendelea kung'ang'ania hizo tozo wananchi wataanza kusafirisha pesa kwa mabasi na bodaboda, na hata hiyo tozo yao itapotea mazima. Note this comment
 
Makampuni ya Simu za mikononi yamesha VUNA vya kutosha.
sasa wakubali yaishe, wasijaribu kuvutana na serikali, maaana tunazo habari za baadhi ya makampuni yakivitumia baadhi ya vyombo vya habari kama vile TV, Radoo, Magazeti na mitandao ya kijamii kujaribu kupotosha ili waendelee kupiga pesa kama kawaida.
Tunasema Mitandao yote ya simu acheni kuihujumu Serikali.
sio makampuni ya simu yanayovutana na serikali, bali ni serikali inayovutana na wananchi, kwa hiyo ni serikali nayo iache kuhujumu wananchi.
 
sio makampuni ya simu yanayovutana na serikali, bali ni serikali inayovutana na wananchi, kwa hiyo ni serikali nayo iache kuhujumu wananchi.
usiwe mgumu kuelewa, kodi/tozo unayo katwa ni kwa ajili ya hudumu utakazo zitumia ww mwenyewe au ndugu zako, mfano;
1.Brabara, ujenzi wa barabara ktk maeneo mbalimbali.
2.Shule/ujenzi wa vyumba vya kusomea.
3. ujenzi wa zahanat/vituo vya afya.
4. n.k
Hivyo fedha unayo katwa ni kwaajili ya manufaaa yako mwenyewe, Serikali inacho kifanya ni kukusanya tu.
500 yako peke yako haiwezi kufanya chochote ila tunapo changia sote kama watanzania ndio inaleta tija. Umoja ni nguvu.
Tusi hujumu Jitihada za serikali ya awamu ya 6.
 
Kimsingi jukumu la msingi la mitandao ya simu ni kutoa huduma ya mawasiliano kwa wateja wake na sio kutoa huduma za kibenki.

Kimsingi huduma za kibeki, yaani kutuma na kupokea fedha ni jukumu la Mabenki lakini mitandao ya simu imejiongeza tu na kutumia teknolojia ya mawasiliano lakini Mabenki ndio wanapaswa kujihusisha na jukumu la kutuma na kupokea fedha.
ahsante lakini makampuni ya simu kujiongeza kwake yapo mpaka vichochoroni kama sio mtaani,upaswi kupanda hata daladala,kuliko bank,mpaka uoge uvae nguo nzuri kwa kwenda mjini,makampuni ya simu unaweza kwenda hospitali au zahanati ukapewa bill,ukatoka nje ukatoa pesa sio bank.Makampuni ya simu tunayathamini
 
Makampuni ya Simu za mikononi yamesha VUNA vya kutosha.
sasa wakubali yaishe, wasijaribu kuvutana na serikali, maaana tunazo habari za baadhi ya makampuni yakivitumia baadhi ya vyombo vya habari kama vile TV, Radoo, Magazeti na mitandao ya kijamii kujaribu kupotosha ili waendelee kupiga pesa kama kawaida.
Tunasema Mitandao yote ya simu acheni kuihujumu Serikali.
Unaposema yameisha vuna vya kutosha unamaanisha nn?
Kwanye hizo huduma za kifedha walizokuwa wanatoa walikuwa halipi kodi? Vip mawakala walikuwa hawanufaiki?
Unaposema kuwa baadhi ya makampuni yanatumia vyombo vya habar kupinga serikali unamaanisha kuwa makampuni ndio yanayoumia? Hiv kwa akili yako kubwa unaona haya makato yamemlenga nani kati ya mtoa huduma na mteja?
Kuna sehem umeona mteja anagawana hizo gharama za tozo mpya na mtoa huduma au yote imeangukia kwa mteja?

Ebu tumia akili kufikiri kama umelipwa jua kuna ndugu zako huko kijijin kwenu waumia
 
Kimsingi jukumu la msingi la mitandao ya simu ni kutoa huduma ya mawasiliano kwa wateja wake na sio kutoa huduma za kibenki.

Kimsingi huduma za kibeki, yaani kutuma na kupokea fedha ni jukumu la Mabenki lakini mitandao ya simu imejiongeza tu na kutumia teknolojia ya mawasiliano lakini Mabenki ndio wanapaswa kujihusisha na jukumu la kutuma na kupokea fedha.
Usisahau mitandao ya simu haitoi faida.
 
Kimsingi jukumu la msingi la mitandao ya simu ni kutoa huduma ya mawasiliano kwa wateja wake na sio kutoa huduma za kibenki.

Kimsingi huduma za kibeki, yaani kutuma na kupokea fedha ni jukumu la Mabenki lakini mitandao ya simu imejiongeza tu na kutumia teknolojia ya mawasiliano lakini Mabenki ndio wanapaswa kujihusisha na jukumu la kutuma na kupokea fedha.
Mambo yamebadilika.............
 
Back
Top Bottom