kwa hiyo wewe huoni kama wanarahisisha huduma za kifedha, inaonekana umezaliw na umekulia mjini hujafikiria kuhusu wanaokaa vijijini ambako ninauhakika hata baadhi hawazifahamu benkiKimsingi jukumu la msingi la mitandao ya simu ni kutoa huduma ya mawasiliano kwa wateja wake na sio kutoa huduma za kibenki.
Kimsingi huduma za kibeki, yaani kutuma na kupokea fedha ni jukumu la Mabenki lakini mitandao ya simu imejiongeza tu na kutumia teknolojia ya mawasiliano lakini Mabenki ndio wanapaswa kujihusisha na jukumu la kutuma na kupokea fedha.
tukubaki yaishe.Kwahiyo unataka kusemaje?
Hujaeleweka bado wanaihujumu vipi serekaliMakampuni ya Simu za mikononi yamesha VUNA vya kutosha.
sasa wakubali yaishe, wasijaribu kuvutana na serikali, maaana tunazo habari za baadhi ya makampuni yakivitumia baadhi ya vyombo vya habari kama vile TV, Radoo, Magazeti na mitandao ya kijamii kujaribu kupotosha ili waendelee kupiga pesa kama kawaida.
Tunasema Mitandao yote ya simu acheni kuihujumu Serikali.
Hawa ndio wanaamini upinzani wakichukua nchi kutakua na vita.Kimsingi jukumu la msingi la mitandao ya simu ni kutoa huduma ya mawasiliano kwa wateja wake na sio kutoa huduma za kibenki.
Kimsingi huduma za kibeki, yaani kutuma na kupokea fedha ni jukumu la Mabenki lakini mitandao ya simu imejiongeza tu na kutumia teknolojia ya mawasiliano lakini Mabenki ndio wanapaswa kujihusisha na jukumu la kutuma na kupokea fedha.
Wameomba leseni kufanya hiyo biashara huwezi kuzuia hata yanga au simba kuomba leseni ya kufanya huduma za kibenki wakiamuaKimsingi jukumu la msingi la mitandao ya simu ni kutoa huduma ya mawasiliano kwa wateja wake na sio kutoa huduma za kibenki.
Kimsingi huduma za kibeki, yaani kutuma na kupokea fedha ni jukumu la Mabenki lakini mitandao ya simu imejiongeza tu na kutumia teknolojia ya mawasiliano lakini Mabenki ndio wanapaswa kujihusisha na jukumu la kutuma na kupokea fedha.
Serikali gani unaongelea?Makampuni ya Simu za mikononi yamesha VUNA vya kutosha.
sasa wakubali yaishe, wasijaribu kuvutana na serikali, maaana tunazo habari za baadhi ya makampuni yakivitumia baadhi ya vyombo vya habari kama vile TV, Radoo, Magazeti na mitandao ya kijamii kujaribu kupotosha ili waendelee kupiga pesa kama kawaida.
Tunasema Mitandao yote ya simu acheni kuihujumu Serikali.
sio makampuni ya simu yanayovutana na serikali, bali ni serikali inayovutana na wananchi, kwa hiyo ni serikali nayo iache kuhujumu wananchi.Makampuni ya Simu za mikononi yamesha VUNA vya kutosha.
sasa wakubali yaishe, wasijaribu kuvutana na serikali, maaana tunazo habari za baadhi ya makampuni yakivitumia baadhi ya vyombo vya habari kama vile TV, Radoo, Magazeti na mitandao ya kijamii kujaribu kupotosha ili waendelee kupiga pesa kama kawaida.
Tunasema Mitandao yote ya simu acheni kuihujumu Serikali.
usiwe mgumu kuelewa, kodi/tozo unayo katwa ni kwa ajili ya hudumu utakazo zitumia ww mwenyewe au ndugu zako, mfano;sio makampuni ya simu yanayovutana na serikali, bali ni serikali inayovutana na wananchi, kwa hiyo ni serikali nayo iache kuhujumu wananchi.
ahsante lakini makampuni ya simu kujiongeza kwake yapo mpaka vichochoroni kama sio mtaani,upaswi kupanda hata daladala,kuliko bank,mpaka uoge uvae nguo nzuri kwa kwenda mjini,makampuni ya simu unaweza kwenda hospitali au zahanati ukapewa bill,ukatoka nje ukatoa pesa sio bank.Makampuni ya simu tunayathaminiKimsingi jukumu la msingi la mitandao ya simu ni kutoa huduma ya mawasiliano kwa wateja wake na sio kutoa huduma za kibenki.
Kimsingi huduma za kibeki, yaani kutuma na kupokea fedha ni jukumu la Mabenki lakini mitandao ya simu imejiongeza tu na kutumia teknolojia ya mawasiliano lakini Mabenki ndio wanapaswa kujihusisha na jukumu la kutuma na kupokea fedha.
Unaposema yameisha vuna vya kutosha unamaanisha nn?Makampuni ya Simu za mikononi yamesha VUNA vya kutosha.
sasa wakubali yaishe, wasijaribu kuvutana na serikali, maaana tunazo habari za baadhi ya makampuni yakivitumia baadhi ya vyombo vya habari kama vile TV, Radoo, Magazeti na mitandao ya kijamii kujaribu kupotosha ili waendelee kupiga pesa kama kawaida.
Tunasema Mitandao yote ya simu acheni kuihujumu Serikali.
Usisahau mitandao ya simu haitoi faida.Kimsingi jukumu la msingi la mitandao ya simu ni kutoa huduma ya mawasiliano kwa wateja wake na sio kutoa huduma za kibenki.
Kimsingi huduma za kibeki, yaani kutuma na kupokea fedha ni jukumu la Mabenki lakini mitandao ya simu imejiongeza tu na kutumia teknolojia ya mawasiliano lakini Mabenki ndio wanapaswa kujihusisha na jukumu la kutuma na kupokea fedha.
Mambo yamebadilika.............Kimsingi jukumu la msingi la mitandao ya simu ni kutoa huduma ya mawasiliano kwa wateja wake na sio kutoa huduma za kibenki.
Kimsingi huduma za kibeki, yaani kutuma na kupokea fedha ni jukumu la Mabenki lakini mitandao ya simu imejiongeza tu na kutumia teknolojia ya mawasiliano lakini Mabenki ndio wanapaswa kujihusisha na jukumu la kutuma na kupokea fedha.