Mitandao ya simu za viganjani hii haijakaa sawa

Mitandao ya simu za viganjani hii haijakaa sawa

Unatakiwa ukatoe ripoti ya unachokipitia ambacho kinasababisha ushindwe kununua vocha. Hawana namna ya kujua kuwa umepatwa na janga. Watakutofautishaje na yule aliyeamua kuitupa line na kuiondoa kwenye NIDA yake kisa madeni? Kuna wanaokwenda nje ya nchi ambako hakuna ROAMING. Usisahau nao wanalipia hizo frequency wanazotumia na huku wewe mtumiaji huingizi chochote kwao.
Kwani ikigawiwa kwa mtu mwingine wanapata nini?
 
Kuna haja ya kuliangilia swala hili kwa upana wake.Mimi nilikamatwa na polis nikanyang'anywa simu nilipotoka ndani nikataka nirudishiwe line yangu nikabiwa mpaka kesi iishe baada ya muda line akapewa mtu mwingine apo kosa nilanani? Kulikuwa na ela nazo wamebeba najiandaa kwenda mahakamani.
 
Kwani ikigawiwa kwa mtu mwingine wanapata nini?
Kana aloyegawiwa anaitumia maana yake cost za kuendesha network zinarudi.

BTW jaribu kuwaza kila mtu anakaa nanline miezi 3 hajaitumia, COMPANY REVENUE INAKUWAJE? Tatizo wengi wanawaza kuwa kama ni mmoja tu basi wamuachie tu
 
Kuna laini wameifungia ilikuwa na nivushe deni 245,000
Nikasema asante
 
Back
Top Bottom