Mitandao ya Tanzania ni ya hovyo mno, Tigo, Vodacom, Airtel internet ni takataka tu. Wanatuibia pesa zetu

Mitandao ya Tanzania ni ya hovyo mno, Tigo, Vodacom, Airtel internet ni takataka tu. Wanatuibia pesa zetu

Huduma za Internet kwa mitandao ya Tigo, Voda na Airtel kwa Tanzania ni mbovu mno.

Mtu unaweka bundle lakini mpaka inaisha unakuta hujatumia ipasavyo kutokana na kukatika katika kwa huduma husika.

Muda mwingi network hakuna hata ikiwa ni maeneo ya mjini kabisa.

Hivi wahusika mnajielewa kweli??

Kwanini mnachukua pesa zetu halafu mnatoa huduma mbovu.

Acheni wizi kwa watanzania, mnachukua pesa bila kutoa huduma za kueleweka.

Karibu halotel 🤕
 
Ipo unlimited ni 50k

Mbps ngapi? Speed yake hawaibinyi baada ya matumizi fulani?

Ni laini tu eeh? (Pasipo router)

Mkuu, ni vyema ungetoa details/sifa zote za hiyo M2M ya TSH 50K.

Funguka zaidi wateja waelewe.

-Kaveli-
 
Strategy ni ile ile tu, Bait and Kill. Hapo mnajazwa kwenye nyavu na kuvuliwa kama samaki.

Halotel used to be so good when they started but eventually lost the touch.

What's the baseline kwasasa?

-Kaveli-
 
Mbps ngapi? Speed yake hawaibinyi baada ya matumizi fulani?

Ni laini tu eeh? (Pasipo router)

Mkuu, ni vyema ungetoa details/sifa zote za hiyo M2M ya TSH 50K.

Funguka zaidi wateja waelewe.

-Kaveli-
Jambo la kwanza laini zinakuwa na 4G au 5G ivo kinachokuwa na MBPS ni kifaa unachotumia na Mode uliyoweka.

Pia hii ni laini ila inakuwa ni kwaajili ya internet ivo aina SmS wala Calls. Unaweza kutumia kwenye router, pocket wi-fi au simu pamoja na vifaa vingine

Imeongezwa speed ivo ina higher speed and strength kuliko laini ya kawaida, pia bando zake aliishi kwa haraka kutokana na data depression level iliyowekwa.

Ilo bando la 50k ni per month, linakuwa lina high speed na unatumia vizuri mwezi mzima.
 
Mitaandao ya hovyo sana hii nimeona hata tv nyingi nilizoangalia leo hii zinakwama kwama sana
 
Voda voda haifai tena
Nadhan Voda ameamua kuwapa priority watu wa unlimited packages ambao wanawauzia internet kutegemeana na speed,
Unaweza ku struggle na slow nternet kwenye simu ya kiganjani wakati huo huo jirani yako ana stream 4k video kutoka hao hao voda.
 
Jambo la kwanza laini zinakuwa na 4G au 5G ivo kinachokuwa na MBPS ni kifaa unachotumia na Mode uliyoweka.

Pia hii ni laini ila inakuwa ni kwaajili ya internet ivo aina SmS wala Calls. Unaweza kutumia kwenye router, pocket wi-fi au simu pamoja na vifaa vingine

Imeongezwa speed ivo ina higher speed and strength kuliko laini ya kawaida, pia bando zake aliishi kwa haraka kutokana na data depression level iliyowekwa.

Ilo bando la 50k ni per month, linakuwa lina high speed na unatumia vizuri mwezi mzima.
Hujajibu swali!!
Inakuwa na caped speed ya mbps ngapi hicho kifaa kwa hiyo bei ya 50 k? Unlimited bundles zinauzwa kutokana na speed.
 
Jambo la kwanza laini zinakuwa na 4G au 5G ivo kinachokuwa na MBPS ni kifaa unachotumia na Mode uliyoweka...
Blaza hujajibu swali acha maelezo mengi ni mbps ngap kwa hio 50k maana najua kifurushi cha unlimited kipo ila sijawah jarb naona 50k 24GB hzo gb za m2m halotel zikiisha unapewa mbps ngai?

Kama hujui kupima mbps download app au nende kwenye website za kupima mbps kama fast.con then urud utuambie ni mbps ngap baada ya zile 24GB kuisha.

Mfano vodacom walikua wana sema kifurush cha kasi cha 50k unapata unlimited ndio unlimited ila zile 24GB zikiisha unapewa 1mbps sawa na 100kb/s ilkua haizid hata 300kb/s sa mambo gan hayo nikatupa na lain
 
Back
Top Bottom