Mitandaoni: Manara ni mkubwa kuliko Simba

Labani og

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2020
Posts
19,637
Reaction score
29,473
Salaam Wana JF,

Naona wengine wanasherekea ubingwa .....wengine Wana msherekea SOAP ndio magepu haya

Acha nirudi kwenye mada: leo katika pita pita zangu mitandaoni especially ule mtandao wetu pendwa wa kimamtoni A.K.A INSTAGRAM nimegundua yafuatayo Kati ya MANARA VS SIMBA

Simba Ilizaliwa mwaka 1936 lakini Ina followers million 3.8.

Manara,

Amezaliwa mwaka 1976 lakini ana followers =million 4

Source Instagram.

 
Kwa kweli kocha Luc hakukosea kwa kusema mashabiki wa hii tm ni kama nyani na wanabweka ka umbwa, zeruzeru naye alikazia kwa kusema hiyo tm mwenye akili ni babake na JK tu ndio wanaomiliki akili wngine wote ni ka ng'ombe
Makolo + makasiriko [emoji23][emoji23]
 
Manara ana roho nzuri,Jana kamtukana Rais wa TFF,na tayari tumeshafungua shauri lake mwenye kamati ya maadili ya TFF,atakula mvua ya miaka bila kujihusisha na mpira
MAKOLO.....hamna haki nchini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…