Na Simba ni kubwa kuliko yanga,maana inazidiwa kwa followers.Salaam Wana JF
Naona wengine wanasherekea ubingwa .....wengine Wana msherekea SOAP ndio magepu haya
Swali fikirishi,kama anazo akili basi atafuta huu uzi.Simba itaendelea kuongeza wafuasi kwa miaka mingapi mbele na manara kwa miaka mingapi mbele?
We unazani Kuna Kitu watamfanya?Here we go,huyu hapa zuzu mwenzako,naomba muoneshe uzalendo wa kweli kumpigania mume wenu!View attachment 2279740
Yanga hawana show off za mitandaoniNa Simba ni kubwa kuliko yanga,maana inazidiwa kwa followers.
Sent from my PBBM00 using JamiiForums mobile app
Nmemjibu mkuuSwali fikirishi,kama anazo akili basi atafuta huu uzi.
Sent from my PBBM00 using JamiiForums mobile app
Hahahaha sasa kumbe unajua kuwa hizi followers zinaletwa na show off ,Yanga hawana show off za mitandaoni
HUJAELEWA SWALI.Hili swali tulijadili now.....
Yanga itaendelea kufanya vzr Zaid....so manara ataendelea kugain zaid
nani mtoto nani mlezi? hiyo dunia ilishapita mkubwa sheria tu sote tuko sawa ! hakuna anaemlisha mwenzake kati ya Karai na Manara show show bampa to bampa!! ubingwa raha sana fataki Arusha kama hepi nyu yia!Ni utopolo pekee anayeweza kuamini mtoto anaweza kuwa mkubwa zaidi ya mlezi wake