Lanlady
JF-Expert Member
- Feb 27, 2019
- 1,836
- 6,303
Baadhi ya wanajamii husababisha raia wenzao kushindwa kusema ukweli unaowahusu. Hii husababishwa na mtazamo hasi kutoka kwa jamii husika.
Utakuta kwa mfano mtu anapitia changamoto fulani na angependa kuizungumzia ili kupata msaada au kuwasaidia wengine kujifunza; mtu huyo itambidi atumie nafsi ya mtu nyingine ili mradi tu afiche uhalisia.
Endapo atasema wazi kuwa ni yeye ndiye anayepitia/aliyepitia changamoto hiyo basi inawezekana akatengwa na jamii au pengine kusemwa vibaya.
Hii si sawa. Jamii inapaswa kufahamu kwamba watu hupata matatizo. Hivyo mtu yeyote awe huru kujizungumzia pasipo kutumia nafsi ya mtu mwingine.
Utakuta kwa mfano mtu anapitia changamoto fulani na angependa kuizungumzia ili kupata msaada au kuwasaidia wengine kujifunza; mtu huyo itambidi atumie nafsi ya mtu nyingine ili mradi tu afiche uhalisia.
Endapo atasema wazi kuwa ni yeye ndiye anayepitia/aliyepitia changamoto hiyo basi inawezekana akatengwa na jamii au pengine kusemwa vibaya.
Hii si sawa. Jamii inapaswa kufahamu kwamba watu hupata matatizo. Hivyo mtu yeyote awe huru kujizungumzia pasipo kutumia nafsi ya mtu mwingine.