Mitazamo ya kike na kiume

Mitazamo ya kike na kiume

Ukichunguza sana utagundua tatizo unalo zungumzia ni 'chemistry'
au 'lack of chemistry' kati yako na hao wanaume

kuna maneno yanaitwa 'sweet nothin'
ni mambo tu ya kijingajinga kati ya watu wawili
but kwa sababu wanaelewana na kupendana ...hawaboani
ukiona mtu anakuboa kwa kukueleza ujinga ujue kuna kitu serious missing...
'mapenzi ni mchezo wa kitoto kwa watu wazima'

mchezo wa kitoto kwa watu wazima, mmmh sijui kama ntaweza kuicheza kwa umri niliofikia.
Au hata wazee waliostaafu nao wanaucheza
 
Ulishawahi kuumizwa kimapenzi?

Yeah wakati niko mschana, na nilishasemaga hiyo pia. Since then I didn't give relationship a chance rather than being selfish. At least now I have grown up and matured old enough not to have relationships but can have chat with a man or dance or share some stories. That's it
 
Ulilelewa na single mother?

To date kama umenichunguza humu sijawahi kuongelea kuhusu family background yangu na all the time naongelea mimi tuu.
Hii imeniathiri hata kutamani kuwa na watoto sitamani wala sitamani kuwa na familia.
For this case am not ready to say anything about family au how was I raised.
 
Yeah wakati niko mschana, na nilishasemaga hiyo pia. Since then I didn't give relationship a chance rather than being selfish. At least now I have grown up and matured old enough not to have relationships but can have chat with a man or dance or share some stories. That's it

Hii itakuwa ndio sababu kubwa. Hapa ni kwamba umeathirika kisaikolojia. Hayo mambo ya IQ na nini.. ni ziada tu. Lakini nakuambia hv: IKO SIKU ITAFIKIA NA UTAPENDA TU! BINADAM NI WAWILI WAWILI BANA! SEMA TU HUJAKUTANA NA MTU ULIYECHUKUWA UBAVU WAKE, ILA YUPO. NASEMA IKO SIKU!!!
 
hahaaaa Give me a break...........!!! NIMUOE....!!! we naona umeamua kumtusi Kiranga au ndo ulimi hauna mfupa??? teh teh
Ila kwa sasa hiyo era ya ndoa kwangu imeshapita, am just cruising in this ship called earth.

Kwani kuoa na kuolewa kwa kigreza ni vp?
 
Unaishi maisha artificial.....huwa mnaishia kuolewa au kuwa na jamaa wa ajabuajabu au utabaki kugongwa tu with no strings attached!....mara nyingi hutokea kwa wale wanaojiita corporate women etc...
 
Nimesoma post yako mpaka nikaingia uvivu kuandika coz I felt like what I need to say will tire my fingers. But I will find time to reply to this coz its very interesting and there are lots to talk about this.
 
Hii itakuwa ndio sababu kubwa. Hapa ni kwamba umeathirika kisaikolojia. Hayo mambo ya IQ na nini.. ni ziada tu. Lakini nakuambia hv: IKO SIKU ITAFIKIA NA UTAPENDA TU! BINADAM NI WAWILI WAWILI BANA! SEMA TU HUJAKUTANA NA MTU ULIYECHUKUWA UBAVU WAKE, ILA YUPO. NASEMA IKO SIKU!!!

Asante japo siitamani hiyo siku ifike maana najipenda mwenyewe na kumpenda mtu inabidi niingie darasani
 
Nimesoma post yako mpaka nikaingia uvivu kuandika coz I felt like what I need to say will tire my fingers. But I will find time to reply to this coz its very interesting and there are lots to talk about this.

Karibuuu
 
utakua peke yako

TANGAZOOO TANGAZOOOOOO...................... TANGAZO TANGAZOOOOO.....................

Mdada yeyote au mschana ambaye aliambiwa na mwekundu kuwa uko peke yako au mko wawili mmemwagwa wote.
Hapa katangaza from now on ntakuwa pekeyangu hivyo kama mlikuwa hamjapata taarifa, taarifa ndio hii.

TANGAZOOOOOOOO.................
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom