Mitazamo ya kike na kiume

Mitazamo ya kike na kiume

hiyo nimetolea mfano tuu ila nilichokuwa nawish tangu niko mschana ni kuwa na mwanaume mwenyekujua vitu vingi na mwenye uelewa wa vitu vingi kunizidi, sio mimi ndo niwe nimemzidi uelewa, elimu, mali aaaahhh kwakweli nashindwa.

I thought ni.msichana kumbe mbibi!!!!!
too bad for u ur not strong as u think but ur weak anside especially ur feeling and emotion...
What u think is strength is ur biggest weakness
 
If only you knew that no one under this earth is perfect; no one knows everything. I hope you get to learn that before it is too late for you my dear sister.

A relationship isn't formed on perfections but your ability to accommodate the other person's imperfections. It is not so much the question of how you two resemble but how you two compliment each others flaws.

I just hope...!


NB: To answer your question, NO! You are not 'Overconfidence',you are ' Kasinde'
#out

Cc: Mwalimu wako wa kizungu Nyani Ngabu

Nyani Ngabu huyu........ namuweka kapuni ana yake anajua anayoyafanya..............

M anot over confident, basi am selfish au najiskia na kuringa sana, some how am moody person.......
I dont want to have a perfect man but a man whose capability is above me, thats it. To my ignorance he should be a little more upgraded above my iognorance sio mie niwe juu yake.
Your hopes are not there coz nashindwa kumingle na mtu kumanage low kwake ni balance na high yangu nashindwaaa actually nilishashindwaa now am enjoying life
 
Unajiweka kwenye class ambazo haupo na hutakaa uwepo. Hakuna mtu mtakae fanana hata nusu ya hobby zenu.

Na interests hazitakaa zifanane hata siku moja. Wewe baki single tu.
yeah I am.
 
Watu wana uwezo tofauti katika kufanya/kuamua/kuchagua kila jambo,haitatokea mtu akawa anajua kila jambo na hasa kwa kiwango kikubwa.
Kwa bahati mbaya unaweza ukakutana na mtu mwenye IQ kubwa na mtu mzuri kwenye General knowledge,lakini hatakuwa anafahamu zaidi upande ambao wewe ungependa afahamu.
Mara nyingi kujua zaidi mambo mbalbali hutegemea na Interest yatu katika jambo(mambo)husika.
Lakini pia nakubali kuwa mtu anapouliza mambo madogo madogo kama vile kutaka kujua herufi fulani kwenye keypad ya simu iliyofutika au namba fulani inaweza kuwa wapi!ni kweli inaboa.
lakini kwa unavyotaka wewe sidhani kama wapo watu hao,na hayo no mapungufu ya kuyadharau tu,otherwise utadeti wengi
 
Your altitude will determine your destination!!.....I think you will understand reality when you will be 45 years and you are still single!!

hahahahahaaa u r late to tell me that netx year i'll be 45 may be ungeema nikifika 50 ndo nione joto ya jiwe, am in my 40s and am enjoying life looh
 
Nyi ndo mnaolewaga na maboya trust me. Kuwa makini sana utachagua sana mwisho wa cku umri nao ooh. Vp yule jamaa six pack wa mataa ubungo ulimpata?
 
Halafu wanawake wa dizaini hii ht mara mbili humtizami. Mbayaaaaaaaaa
 
Kiukweli sikumaanisha niwe na mwanaume anayejua kila kitu ila awe anajua vingi kunizidi, mfano unakuta mie nikiambiwa niandie barua ya kuomba passport, naweza nikai draft alone bila kuomba assistance ya mtu, sasa unakuta mwanaume anakupigia simu naomba nidraftie barua ya kitu flani halafu mie ni sign..... wakati unakuta hiho kitu kina muhusu yeye per see, ukimwambia andika niisome anataka muandike wote yaani wewe useme maneno aandike................ aaagghhhr yaani hivo nakosa pose ya kuendelea hata kuongea nae aisee, yaani niko hivo sijui ni ugonjwa labda.....

You're too complicated than you think.
 
Hhahahahahaaaaaa usemayo ni kweliiiii, tatizo crush za kupanga hazinogi, zinanoga za kubambana kwenye foleni, au club au kanisani au kwenye sherehe kama za harusi au misiba............
tu crush huko waweza nikamata hii ya kupanga hainogi, nakuwa too official

Juzi nikakuuliza basi mitaa yako nijaribu kuzengea huko nicrash na wewe unajibu kisiasa wakati project iliyonileta mjini inaexpire hivi karibuni nirudi mkoa.
 
Hii imenisababishia hadi sasa siko kwenye mahusiano maana nimekuwa nikijiona niko juu ya hao wote ninaokutana nao.

Nomba msinielewe vibaya, si kuwa ninawasengenya au kuwasema watu niliokutana nao maana sitawataja hapa ila ntaongelea jinsi nilivyokuwa nawachukulia.

Yani nakuwa nina furaha iwapo nakuwa na mwanaume anizidi kiumri, kimaarifa, kielimu, kiustaarabu, anizidi kimaamuzi, kiuchumi, uwezo wa kutafsiri mambo na hata kimtazamo kwa ujumla.

Am I overconfidence!?

Iftar njema.

Kasie.


Frankly speaking my Sister, those are the types that don't get fazed by your type. Re-strategize.

Over-confident? Aah no, over-dreaming if i may.
 
Aah I know you are perfectionist ,utakua unadondokea sana kwa wanaume wasiokupenda cos you are so selective!!
 
Habari za mchana wapendwa,

Leo nasukumwa kusema haya. Nimekuwa nikiwatazama watu wa jinsia tofauti kwa mtizamo wangu na mwishowe kumuweka huyo mtu kwenye kundi ninaloona anafaa. Hii imenisababishia hadi sasa siko kwenye mahusiano maana nimekuwa nikijiona niko juu ya hao wote ninaokutana nao.

Nomba msinielewe vibaya, si kuwa ninawasengenya au kuwasema watu niliokutana nao maana sitawataja hapa ila ntaongelea jinsi nilivyokuwa nawachukulia.Tangu niko mschana nimekuwa nikipenda niwe na mwanaume ambaye amenizidi kwa asilimia 40 hadi 60 kwenye nyanja zote.

Yani nakuwa nina furaha iwapo nakuwa na mwanaume anizidi kiumri, kimaarifa, kielimu, kiustaarabu, anizidi kimaamuzi, kiuchumi, uwezo wa kutafsiri mambo na hata kimtazamo kwa ujumla.

Mfano, huwa nagundua mwanaume ninayetoka naye nimemzidi kiuchambuzi au kiutambuzi pale ambapo tunakuwa tunaangalia movie ambapo wote mnaangalia hiyo movie halafu unakuta anakuuliza sasa hapo alipofanya hivo ndo anamaanisha nini, to me that’s a negative sign to go on with that relationship.

Kama huwa anafanya hivo ili kunogesha tuu maongezi au kuuliza tuu maswali kama maswali ya kimapenzi yaanimie huwa naboreka na huwa sijibu swali.Utakuta imefikia kipindi kwenye hiyo movie wana kiss on the move to make love halafu unakuta jamaa anakuuliza, ndo wanataka kufanyaje hapo mie kimoyomoyo.

Are you blind!? Kwa wana saikolojia huwa wanatumia picha au michoro flani kisha wanakupa uitafsiri ili kujua akili yako inaweza kuona nini na nini na unaweza kuitafsiri hiyo picha beyond au utaishia kutafsiri tukio moja tuu wakati picha inazaidi ya message moja.Sasa utakuta unatoka na mwanaume kwenye maonesho ya painting.

I like painting so huwa naenda sana kwenye maonesho ya picha na vitabu) sasa mnasimama kwenye picha au paint mojawapo halafu unaitizama na kuanza kuidadavua emotionally in my thinking kasha unamuuliza what do you see in this picture anakwambia flowers yaani najikuta nakuwa demoralized kuendelea kuwa nae I just keep myself off that relationship.

Si kuwa nawaona hawana akili ila kutokana na mie kuona kuwa naweza kuchambua vitu zaidi yake naona siwezi kuwa chini yake maana ideas zake ntaziona ziko low na ntaona kama ananirudisha nyuma kila nnachotaka kufanya.Kitu kingine huwa namuona mtu niliyemzidi ideas, thinking ntakuwa kama namburuza na mwisho kuniona mie ni kiburi.

My thinking has made me to date being single and I don’t think if I can intermingle. Yes I go out with a man, we talk, we chill, we dance da da da of we go no string attached lools. Hope sijamsema mtu hapa zaidi nimejidadavua mwenyewe.

Am I overconfidence!?

Iftar njema.

Kasie.


Waswahili wanasema Mchagua Nazi siku zote huangukia Korona....Watch your Mouth
 
Back
Top Bottom