Mitazamo ya kike na kiume

Mitazamo ya kike na kiume

Mpaka umpate mwanaume anaekuzidi kwa kila kitu mbona kazi.
 
Safari ya Zanzibar bado?

Niliona mwaliko hapa jukwaani!

Zanzibar ni sehemu mzuri kwa kufanya trips za mapumziko,I wish hata ww ungetembelea ukafaidi uzuri wa Kisiwa.
Usisahau kutembelea Foradhani at Night,Utakula kila ya aina ya Sea Foods uipendayo wewe.

KARIBU ZANZIBAR.
 
mleta mada umeongea jambo zito sana, sometimes mwanaume ulomzidi upeo wakuchambua nakutekeleza ataona unamkalia aisee akiongea pumba ukimwambia sio hlo timbwili
 
Habari za mchana wapendwa,

Leo nasukumwa kusema haya. Nimekuwa nikiwatazama watu wa jinsia tofauti kwa mtizamo wangu na mwishowe kumuweka huyo mtu kwenye kundi ninaloona anafaa. Hii imenisababishia hadi sasa siko kwenye mahusiano maana nimekuwa nikijiona niko juu ya hao wote ninaokutana nao.

Nomba msinielewe vibaya, si kuwa ninawasengenya au kuwasema watu niliokutana nao maana sitawataja hapa ila ntaongelea jinsi nilivyokuwa nawachukulia.Tangu niko mschana nimekuwa nikipenda niwe na mwanaume ambaye amenizidi kwa asilimia 40 hadi 60 kwenye nyanja zote.

Yani nakuwa nina furaha iwapo nakuwa na mwanaume anizidi kiumri, kimaarifa, kielimu, kiustaarabu, anizidi kimaamuzi, kiuchumi, uwezo wa kutafsiri mambo na hata kimtazamo kwa ujumla.

Mfano, huwa nagundua mwanaume ninayetoka naye nimemzidi kiuchambuzi au kiutambuzi pale ambapo tunakuwa tunaangalia movie ambapo wote mnaangalia hiyo movie halafu unakuta anakuuliza sasa hapo alipofanya hivo ndo anamaanisha nini, to me that's a negative sign to go on with that relationship.

Kama huwa anafanya hivo ili kunogesha tuu maongezi au kuuliza tuu maswali kama maswali ya kimapenzi yaanimie huwa naboreka na huwa sijibu swali.Utakuta imefikia kipindi kwenye hiyo movie wana kiss on the move to make love halafu unakuta jamaa anakuuliza, ndo wanataka kufanyaje hapo mie kimoyomoyo.

Are you blind!? Kwa wana saikolojia huwa wanatumia picha au michoro flani kisha wanakupa uitafsiri ili kujua akili yako inaweza kuona nini na nini na unaweza kuitafsiri hiyo picha beyond au utaishia kutafsiri tukio moja tuu wakati picha inazaidi ya message moja.Sasa utakuta unatoka na mwanaume kwenye maonesho ya painting.

I like painting so huwa naenda sana kwenye maonesho ya picha na vitabu) sasa mnasimama kwenye picha au paint mojawapo halafu unaitizama na kuanza kuidadavua emotionally in my thinking kasha unamuuliza what do you see in this picture anakwambia flowers yaani najikuta nakuwa demoralized kuendelea kuwa nae I just keep myself off that relationship.

Si kuwa nawaona hawana akili ila kutokana na mie kuona kuwa naweza kuchambua vitu zaidi yake naona siwezi kuwa chini yake maana ideas zake ntaziona ziko low na ntaona kama ananirudisha nyuma kila nnachotaka kufanya.Kitu kingine huwa namuona mtu niliyemzidi ideas, thinking ntakuwa kama namburuza na mwisho kuniona mie ni kiburi.

My thinking has made me to date being single and I don't think if I can intermingle. Yes I go out with a man, we talk, we chill, we dance da da da of we go no string attached lools. Hope sijamsema mtu hapa zaidi nimejidadavua mwenyewe.

Am I overconfidence!?

Iftar njema.

Kasie.

So you're always right then?
 
Mpaka nimehisi kichwa kinauma maana Kwa hilo hakuna wa kuweza kukubadilisha zaidi ya Allah mlezi wako maana mapenzi na na uelewa wa vitu ni vimepishana sana ila nakushauri jifunze kuangalia anaefiti katika mapenzi yako ukiona anakufurahisha na kukuhandle vyema tulia nae na uwe tayari Kwa lolote juu yake, mengine achana nayo maana huko unakoelekea utakuja kupata maumivu yakukufanya uone dunia ni mbaya sana kuwa makini sana katika mapenzi yanahitaji vitu vidogo sana lakini vingi mno

This comment is on point.

Chukua tena like.
 
KASINDE,
SI LAZIMA MTU AJUE KILA KITU, HATA WEWE PIA KUNA VITU HUVIJUI KWA 100%,:wacko:
 
Kasie nishaomba crash kibao na wewe majibu hadi sasa ni sifuri, ungecrash na mimi wala usingekuja kuandika haya hapa.
 


Am I overconfidence!?



Kasie.

If only you knew that no one under this earth is perfect; no one knows everything. I hope you get to learn that before it is too late for you my dear sister.

A relationship isn't formed on perfections but your ability to accommodate the other person's imperfections. It is not so much the question of how you two resemble but how you two compliment each others flaws.

I just hope...!


NB: To answer your question, NO! You are not 'Overconfidence',you are ' Kasinde'
#out

Cc: Mwalimu wako wa kizungu Nyani Ngabu
 
Last edited by a moderator:
Either umuumbe wako umpe vyote unavohitaji au utasubri mpaka Pablo Picasso afufuke aje akuelezee michoro!!
 
Unajiweka kwenye class ambazo haupo na hutakaa uwepo. Hakuna mtu mtakae fanana hata nusu ya hobby zenu.

Na interests hazitakaa zifanane hata siku moja. Wewe baki single tu.
 
Kwa lugha nyingine hutaki kuwa Ng'ombe, unataka kuwa mkia, yaani kutingishwa tingishwa tu. Nyie viumbe sijui mtajielewa lini, mkienda shule noma, msipokwenda shule ndiyo noma kabisaa!! Halafu ukimpata anayekuzidi kila kitu utalalamika anakunyanyasa kwa kuwa kakuzidi kila kitu. Badilikeni.

Thats too much, sitaki kuwa too much dominated I just want someone to lead me and guide me, yaani nikimuona nione yeah I can take his advice sio niwe napelekeshwa kila kitu wala sio nimpelekeshe yaani ile man on top and lady a body. Kuongozwa raha sio nipelekeshwe kwa kushikwa mkia. You get me wrong labda sikujielezea vizuri.
 
Ngumu sana kupata mtu anaejua kila kitu aisee bila kujali jinsia na hii inategemeana na hobby kwani kila mtu hubase kule kwenye Hobby yake mfano wewe utakuwa vizuri sana kwenye muziki wa R&B sababu ndo music unaoufeel sana so ikipigwa R&B tukiwa pamoja sababu najua we unajua hizo nyimbo si mbaya nikikuuliza hivi wimbo huo kaimba nani....Na mimi nipo fit kwenye hip hop so ikipigwa Dum Dums ya Das EFX naukaona natikisa kichwa na kutiririka mashairi yake sintakuona hujui utakaniuliza eti mchumba huo wimbo kaimba nani vile...Ndo hivyo hakuna anaejua kila kitu kila wakati ndo maana we ni dokta utamhitaji mwanasheria katika kesi zako....

You are right hakuna perfect au hakuna malaika au hakuna aliye mkamilifu, ila hiyo tabia nimejikuta ninayo na nimekuwa nikiwa under rate wanaume niliokuwanao kwenye mahusiano, may be am the one who is ignorant ila to my knowledge I think I can cope with a man ambaye amenizidi kwenye nyanja nyingi, mfano nikiwa na mwanaume ambaye hayuko exposed na dunia uuuh yaani naona nikiongelea habari za marekani au china au singapore halafu yeye hajui hata dunia inendelaje yaani naona mie ndo ninaye lead maongezi which naona namfanya anakuwa inferior.
To me nashindwa ku cope kabisaaa, may be I'll end up being single perfecting myself au naringa sana au am too selfish.............
 
utapitia wengi sana kabla ya kukutana na aliekuzidi 40-60% kwenye nyanja zote!!!! kama mimi hapo kwenye paint tu ungeshanimwaga maanake ningekuwa natazama vitu vingine kabisa probably mchoraji, badala ya paint yenyewe! mambo ya akina Picasso?! bado sana

Sio nitapitia sema nimeshapitia wengi hadi nimeshaacha now days nakula ujana tuu na ku popo on my own, sifanyi tena relationships nop!!
 
Mimi naona una akili mbaya sana wewe mwanamke japo naelewa unachomaanisha. Mimi sipendi mwanamke ambaye hawezi hata kurekebisha alarm kwenye simu yake ila sitamkinai kwa sababu hiyo tu..!!

Oooh pole, wewe nawe ni wa aina yake.
Akili yangu imekuwa ikinituma hivyo, inaendelea kunituma ivyo kila leo.
 
Back
Top Bottom