Mitazamo ya kike na kiume

Mitazamo ya kike na kiume

To date kama umenichunguza humu sijawahi kuongelea kuhusu family background yangu na all the time naongelea mimi tuu.
Hii imeniathiri hata kutamani kuwa na watoto sitamani wala sitamani kuwa na familia.
For this case am not ready to say anything about family au how was I raised.

Tatizo liko hapo....jinsi ulivyo kuwa raised
kuna emotional bruises zinazokufanya upende mtu
ambae atakuwa 'father figure' zaidi kwako
akuzidi kila kitu uwe kama a baby to him...lolote linalokushinda
unamfata yeye ana li clear......your past has a lot to do with this
 
Tatizo liko hapo....jinsi ulivyo kuwa raised
kuna emotional bruises zinazokufanya upende mtu
ambae atakuwa 'father figure' zaidi kwako
akuzidi kila kitu uwe kama a baby to him...lolote linalokushinda
unamfata yeye ana li clear......your past has a lot to do with this

Nami nahisi hapo ndo matatizo yake yanapoanzia.
 
Daaaa! Wewe safi sana sema tu unaotoka nao hawajui namna ya kuku chukulia.
 
TANGAZOOO TANGAZOOOOOO...................... TANGAZO TANGAZOOOOO.....................

Mdada yeyote au mschana ambaye aliambiwa na mwekundu kuwa uko peke yako au mko wawili mmemwagwa wote.
Hapa katangaza from now on ntakuwa pekeyangu hivyo kama mlikuwa hamjapata taarifa, taarifa ndio hii.

TANGAZOOOOOOOO.................
hebu baelezee uko peke yako mpenzi
 
Habari za mchana wapendwa,

Leo nasukumwa kusema haya. Nimekuwa nikiwatazama watu wa jinsia tofauti kwa mtizamo wangu na mwishowe kumuweka huyo mtu kwenye kundi ninaloona anafaa. Hii imenisababishia hadi sasa siko kwenye mahusiano maana nimekuwa nikijiona niko juu ya hao wote ninaokutana nao.

Nomba msinielewe vibaya, si kuwa ninawasengenya au kuwasema watu niliokutana nao maana sitawataja hapa ila ntaongelea jinsi nilivyokuwa nawachukulia.Tangu niko mschana nimekuwa nikipenda niwe na mwanaume ambaye amenizidi kwa asilimia 40 hadi 60 kwenye nyanja zote.

Yani nakuwa nina furaha iwapo nakuwa na mwanaume anizidi kiumri, kimaarifa, kielimu, kiustaarabu, anizidi kimaamuzi, kiuchumi, uwezo wa kutafsiri mambo na hata kimtazamo kwa ujumla.

Mfano, huwa nagundua mwanaume ninayetoka naye nimemzidi kiuchambuzi au kiutambuzi pale ambapo tunakuwa tunaangalia movie ambapo wote mnaangalia hiyo movie halafu unakuta anakuuliza sasa hapo alipofanya hivo ndo anamaanisha nini, to me that’s a negative sign to go on with that relationship.

Kama huwa anafanya hivo ili kunogesha tuu maongezi au kuuliza tuu maswali kama maswali ya kimapenzi yaanimie huwa naboreka na huwa sijibu swali.Utakuta imefikia kipindi kwenye hiyo movie wana kiss on the move to make love halafu unakuta jamaa anakuuliza, ndo wanataka kufanyaje hapo mie kimoyomoyo.

Are you blind!? Kwa wana saikolojia huwa wanatumia picha au michoro flani kisha wanakupa uitafsiri ili kujua akili yako inaweza kuona nini na nini na unaweza kuitafsiri hiyo picha beyond au utaishia kutafsiri tukio moja tuu wakati picha inazaidi ya message moja.Sasa utakuta unatoka na mwanaume kwenye maonesho ya painting.

I like painting so huwa naenda sana kwenye maonesho ya picha na vitabu) sasa mnasimama kwenye picha au paint mojawapo halafu unaitizama na kuanza kuidadavua emotionally in my thinking kasha unamuuliza what do you see in this picture anakwambia flowers yaani najikuta nakuwa demoralized kuendelea kuwa nae I just keep myself off that relationship.

Si kuwa nawaona hawana akili ila kutokana na mie kuona kuwa naweza kuchambua vitu zaidi yake naona siwezi kuwa chini yake maana ideas zake ntaziona ziko low na ntaona kama ananirudisha nyuma kila nnachotaka kufanya.Kitu kingine huwa namuona mtu niliyemzidi ideas, thinking ntakuwa kama namburuza na mwisho kuniona mie ni kiburi.

My thinking has made me to date being single and I don’t think if I can intermingle. Yes I go out with a man, we talk, we chill, we dance da da da of we go no string attached lools. Hope sijamsema mtu hapa zaidi nimejidadavua mwenyewe.

Am I overconfidence!?

Iftar njema.

Kasie.
Habari ya asubuhi dada, sasa leo ntaanza kuongea na wewe step by step ili kurespond kwa hii post yako. Moja binadamu tunatofautiana na ndicho kinafanya Dunia kuwa mahala pazuri pa kuishi. Kwa mfano binadamu tuna hobbie tofauti tofauti, kuna ambao hobbie zao ni muziki, wengine movies, wengine sports, wengine politics, wengine arts kama wewe nk. Sasa I think sio vizuri sana kumuhukumu mtu kwasababu hobbies zake zinatofautiana na zako. Kwa mfano mimi naweza kuelezea vizuri sana kama tunawatch movie utafikiri mimi ndio nimeidirect, naweza kusikiliza na kuimba muziki ila I know nothing about paintings ingawa I used to be a painter. Kwahiyo kwenye mahusiano ni vizuri kuangalia ni namna gani mnaunganisha preferences zenu na kila mmoja kuwa na uwezo wa kuaccommodate za mwenzie. Hii ni sehemu ya kwanza ya response yangu, ntakuja na sehemu ya pili.
 
Sehemu ya pili ni superiority kwenye mahusiano. Kwenye mahusiano mara nyingi superiority huwa haiangalii sana kipato, elimu au uelewa, inaangalia who is a man and who is a woman. Waafrika ndio bado tunayo sana hii na ndio maana unakuta ndoa nyingi za kiafrika huwa zinadumu tofauti na na nchi za ulaya na marekani. Sasa ukiwa unataka kuingia kwenye mahusiano halafu ukaangalia elimu, kipato na uelewa utajikuta una narrow down your choices of a person you could match or who could be the best for you. Imagine namna unavyo perceive watu unaotaka kuingia nao kwenye mahusiano, then ukakutana na mtu mwenye tabia kama za kwako, then mkaingia kwenye mahusiano do you think your relationship will work? Mi nadhani hapana kwasababu hakutakuwa na mtu ambaye atafight kuendelea kuwemo kwenye mahusiano as wote mnaamini you can stand on your own. Zamani kwa mfano watu walikuwa wanakuwa bound na watoto, how the community will see them if they separate na kwa mwanamke ni namna gani mahari iliyotolewa itarudishwa na wazazi wake na hata ikirudishwa ni namna gani wazazi watamuona? Siku hizi wenyewe mnasema whatever I do its my choice, mtu akiwaambia hapo you are not going the right direction mnamuita HATER, na hata mkiachana na baba au mama yako akajaribu kukuambia kitu mnamwambia its my life. So kikubwa ni perception yetu wenyewe inayopelekea yote haya. Ntaendelea na sehemu nyingine soon
 
Have you given second thought to your standardized tests?

The problem is time has lapse, if I gave a second thought to what I standardized still I won't be able to make it. Am too old to correct my errors.
 
hahahahhah kwenye point of weakness unatilia mkazo khaaaaaaah Thank for Correction My

Hhahahahaaa karibu best, tunaongeza siku za kuishi. Enjoy.
 
Tatizo liko hapo....jinsi ulivyo kuwa raised
kuna emotional bruises zinazokufanya upende mtu
ambae atakuwa 'father figure' zaidi kwako
akuzidi kila kitu uwe kama a baby to him...lolote linalokushinda
unamfata yeye ana li clear......your past has a lot to do with this

You are absolutely right, 100% right. But I dare not to say more.
Thanks for caring and sharing.
Kasie.
 
hebu baelezee uko peke yako mpenzi

Nasubiria walio likizo na walio kwenye mfungo wamalize, nisijishaue hapa niko mwenyewe kumbe wengine wanasubiri mfungo uishe.
Though so far am alone looh!!
Plan za Eid................. Zenji au..............???
 
Habari ya asubuhi dada, sasa leo ntaanza kuongea na wewe step by step ili kurespond kwa hii post yako. Moja binadamu tunatofautiana na ndicho kinafanya Dunia kuwa mahala pazuri pa kuishi. Kwa mfano binadamu tuna hobbie tofauti tofauti, kuna ambao hobbie zao ni muziki, wengine movies, wengine sports, wengine politics, wengine arts kama wewe nk. Sasa I think sio vizuri sana kumuhukumu mtu kwasababu hobbies zake zinatofautiana na zako. Kwa mfano mimi naweza kuelezea vizuri sana kama tunawatch movie utafikiri mimi ndio nimeidirect, naweza kusikiliza na kuimba muziki ila I know nothing about paintings ingawa I used to be a painter. Kwahiyo kwenye mahusiano ni vizuri kuangalia ni namna gani mnaunganisha preferences zenu na kila mmoja kuwa na uwezo wa kuaccommodate za mwenzie. Hii ni sehemu ya kwanza ya response yangu, ntakuja na sehemu ya pili.

Nimekusoma best and you are impressing me
................... nakufatilia..............
 
Sehemu ya pili ni superiority kwenye mahusiano. Kwenye mahusiano mara nyingi superiority huwa haiangalii sana kipato, elimu au uelewa, inaangalia who is a man and who is a woman. Waafrika ndio bado tunayo sana hii na ndio maana unakuta ndoa nyingi za kiafrika huwa zinadumu tofauti na na nchi za ulaya na marekani. Sasa ukiwa unataka kuingia kwenye mahusiano halafu ukaangalia elimu, kipato na uelewa utajikuta una narrow down your choices of a person you could match or who could be the best for you. Imagine namna unavyo perceive watu unaotaka kuingia nao kwenye mahusiano, then ukakutana na mtu mwenye tabia kama za kwako, then mkaingia kwenye mahusiano do you think your relationship will work? Mi nadhani hapana kwasababu hakutakuwa na mtu ambaye atafight kuendelea kuwemo kwenye mahusiano as wote mnaamini you can stand on your own. Zamani kwa mfano watu walikuwa wanakuwa bound na watoto, how the community will see them if they separate na kwa mwanamke ni namna gani mahari iliyotolewa itarudishwa na wazazi wake na hata ikirudishwa ni namna gani wazazi watamuona? Siku hizi wenyewe mnasema whatever I do its my choice, mtu akiwaambia hapo you are not going the right direction mnamuita HATER, na hata mkiachana na baba au mama yako akajaribu kukuambia kitu mnamwambia its my life. So kikubwa ni perception yetu wenyewe inayopelekea yote haya. Ntaendelea na sehemu nyingine soon

Nimesoma maneno yako yamenigusa, nimejikuta narudia kusoma tena na tena ............................... naendelea kukufatilizia nafikiri u have something ambacho nilikuwa sijakiwaza............
Thanks best
 
Kwamtindo huo utakuwa single forever bi dada.Huwezi ukakutana na mtu aliye 'effective' katika idara zote.

Na kama utaendelea kumtafuta utasubiria saana mwisho wa siku utajikuta unazeeka na hatimaye kufariki na "utamu wako".

Your biological clock still ticking,wake up beautiful girl
 
just fine coz u have accepted who you are
but if it hurts you am really sorry for u
 
Nimesoma maneno yako yamenigusa, nimejikuta narudia kusoma tena na tena ............................... naendelea kukufatilizia nafikiri u have something ambacho nilikuwa sijakiwaza............
Thanks best
unfortunately sioni button ya like kweye hii post
kama umefikia hapa this is a good sign we must
accept we ar african we have our pride eti
 
Back
Top Bottom