Mikopo Consultant
JF-Expert Member
- Oct 28, 2024
- 529
- 1,150
Mithali 5:3 Maana midomo ya malaya hufondoxa asali, na kinywa chake ni laini kuliko mafuta
Mithali 5:4 Lakini mwisho wake ni mchungu kuliko pakanga, ni mkali kama upanga wa makali kuwili
Mithali 5:5 Miguu yake inatelemkia mauti, hatua zake zinashikamana na kuzimu
Mithali 5:8 Itenge njia yako mbali naye, wala usiukaribie mlango wa nyumba yake
Mithali 5:9 Usije ukawapa wengine heshima yako, na wakorofi miaka yako
Mithali 5:10 Wageni wasije wakashiba nguvu zako, kazi zako zikawa ndani ya nyumba ya mgeni
Mithali 5:11 Nawe ukaziombolea siku zako za mwisho, nyama yako na mwili wako utapoangamia
Mithali 5:15 Unywe maji ya birika lako mwenyewe, na maji yenye kububujika katija kisima chako
Mithali 5:16 Je chemchem zako zitawanyike mbali, na mito ya maji katika nyia kuu?
Mithali 5:17 Yawe yako mwenyewe peke yako, wala si ya wageni pamoja nawe
Mithali 5:18 Chemchem yako ibarikiwe; nawe umfurahie mke wa ujana wako
Mithali 5:19 Ni ayala apendaye na paa apendezaye, maziwa yake yakutoshe sikuzote; na kwa upendo wake ushangilie daima
Mithali 5:20 Mwanangu! mbona unashangilia mayala, na kukikumbatia kifua cha mgeni?
Mithali 5:21 Kwa maana njia za mwanadamu zi mbele ya macho ya bwana , na mienendo yake yote huitafakari
Mithali 5:22 Maovu yake yeye yatampata mdhalimu, naye atashikwa kwa kamba za dhambi zake.
Mithali 5:23 Atakufa huyo kwa kukosa maonyo, naye atapotea kwa wingi wa ujinga wake.
Japo conclusion ni kufa, ila kwasababu hakuna atayeishi milele maana yake hata decent people watakufa, ila bado ujumbe una uzito mkubwa sana, kwamba, tuheshimu ndoa zetu both wanaume na wanawake
Unajikuta mke wako nyonyo zishalegea sababu yako weqe halafu unamwacha unaenda kwa chuchu saa sita, hii kweli haijakaa powa. Maana wewe ndo umemchakaza...
Mithali 5:4 Lakini mwisho wake ni mchungu kuliko pakanga, ni mkali kama upanga wa makali kuwili
Mithali 5:5 Miguu yake inatelemkia mauti, hatua zake zinashikamana na kuzimu
Mithali 5:8 Itenge njia yako mbali naye, wala usiukaribie mlango wa nyumba yake
Mithali 5:9 Usije ukawapa wengine heshima yako, na wakorofi miaka yako
Mithali 5:10 Wageni wasije wakashiba nguvu zako, kazi zako zikawa ndani ya nyumba ya mgeni
Mithali 5:11 Nawe ukaziombolea siku zako za mwisho, nyama yako na mwili wako utapoangamia
Mithali 5:15 Unywe maji ya birika lako mwenyewe, na maji yenye kububujika katija kisima chako
Mithali 5:16 Je chemchem zako zitawanyike mbali, na mito ya maji katika nyia kuu?
Mithali 5:17 Yawe yako mwenyewe peke yako, wala si ya wageni pamoja nawe
Mithali 5:18 Chemchem yako ibarikiwe; nawe umfurahie mke wa ujana wako
Mithali 5:19 Ni ayala apendaye na paa apendezaye, maziwa yake yakutoshe sikuzote; na kwa upendo wake ushangilie daima
Mithali 5:20 Mwanangu! mbona unashangilia mayala, na kukikumbatia kifua cha mgeni?
Mithali 5:21 Kwa maana njia za mwanadamu zi mbele ya macho ya bwana , na mienendo yake yote huitafakari
Mithali 5:22 Maovu yake yeye yatampata mdhalimu, naye atashikwa kwa kamba za dhambi zake.
Mithali 5:23 Atakufa huyo kwa kukosa maonyo, naye atapotea kwa wingi wa ujinga wake.
Japo conclusion ni kufa, ila kwasababu hakuna atayeishi milele maana yake hata decent people watakufa, ila bado ujumbe una uzito mkubwa sana, kwamba, tuheshimu ndoa zetu both wanaume na wanawake
Unajikuta mke wako nyonyo zishalegea sababu yako weqe halafu unamwacha unaenda kwa chuchu saa sita, hii kweli haijakaa powa. Maana wewe ndo umemchakaza...