Miti ya Cherry Blossom inaweza kustawi Tanzania vema?

Miti ya Cherry Blossom inaweza kustawi Tanzania vema?

shoswede

Member
Joined
Nov 13, 2022
Posts
50
Reaction score
66
Nawasalimu kwa Jina la Jamhuri.

Naomba kuuliza kwa wenye utaalamu wa mambo ya mazingira. Je, kwa mazingira yetu Tanzania miti hii ya Cherry Blossom inaweza kustawi vema kama sehemu nyingine Japan, korea etc?
 
Nawasalimu kwa Jina la Jamhuri.

Naomba kuuliza kwa wenye utaalamu wa mambo ya mazingira. Je, kwa mazingira yetu Tanzania miti hii ya Cherry Blossom inaweza kustawi vema kama sehemu nyingine Japan, korea etc?
Chukua mbigu ukajaribishe kupanda
 
Nawasalimu kwa Jina la Jamhuri.

Naomba kuuliza kwa wenye utaalamu wa mambo ya mazingira. Je, kwa mazingira yetu Tanzania miti hii ya Cherry Blossom inaweza kustawi vema kama sehemu nyingine Japan, korea etc?
Bila picha Uzi huu ni MBUSUSU

We have something to realize....
Unakuta mtu anakurupuka anachangia hivi...
Nanukuu 🥴🤓🤓
🇹🇿🇹🇿🇹🇿
 
Kwa msaada Wasio jua huu mti Cherry Blossom
Naweka picha...
images (13).jpeg
 
Nawasalimu kwa Jina la Jamhuri.

Naomba kuuliza kwa wenye utaalamu wa mambo ya mazingira. Je, kwa mazingira yetu Tanzania miti hii ya Cherry Blossom inaweza kustawi vema kama sehemu nyingine Japan, korea etc?
Ndio mikoa ya nyanda za juu kaskazini, nyanda za juu kusini na magharibi mwa Tanzania
 
Utumwa wa fikra kwa mwafrica hasa mtanzania hautokuja kuisha,Yani tunawaza hadi miti ya nje ni bora kukiko misonobali yetu ebu panda mikaratusi na mivinje hapo kwako utakuja kunishukuru
 
Utumwa wa fikra kwa mwafrica hasa mtanzania hautokuja kuisha,Yani tunawaza hadi miti ya nje ni bora kukiko misonobali yetu ebu panda mikaratusi na mivinje hapo kwako utakuja kunishukuru
kwahio mti kama ni mzuri usiupande kwako kwa vile ni wa nje? mh! nakuona nawewe unatumia viatu na nguo za asili kwakua sio mtumwa kifikra
 
Back
Top Bottom