Mitihani ya divisheni five

hahhaaa!! dont worry..! nna maziwa fresh kidum kizima, mihogo sufuria mbili, viazi vitamu nusu ndoo vilivyochemshwa na maji ya kunywa lita tano!!

huku hatuli chipsi bana...!! mambo ya kuishiwa nguvu za kiume za kuchungia, si' hakuna!

viazi vitamu huwa vitakatwa katwa kuwa clips harafu unaanika juu ya paa la nyasi.........vikikauka unachukua unaweka mfukoni unakula taratibu siku inaisha.................. ndoa haiwezi kuvunjika hapo
 

from ujinga hadi kumuenzi MOORIINGEE. Karibu mkuu ubarikiwe kwa ushauri wako
 

umeongea ukweli,,kuna watu id zao zinawaponza sana...hata wakifanya jambo la msingi
 
Hii Mitihani Iringa Tutaandamana Haita Fika Hata Kwa Amri Ya Pinda Ya WAPIGWE TU!
 
ninaomba msaada wa swali la 8 limeniona kwa kweli......

8. Kwa kuwatumia wasanii wa Bongofleva kama Diamond na wa mtoni kama Chriss Brown elezea maana ya neno SWAGA.
 
looo hiyo picha inaonekana ya longi balaaaa Excel
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…