MOORIINGEE
JF-Expert Member
- Oct 31, 2013
- 381
- 190
hahhaaa!! dont worry..! nna maziwa fresh kidum kizima, mihogo sufuria mbili, viazi vitamu nusu ndoo vilivyochemshwa na maji ya kunywa lita tano!!
huku hatuli chipsi bana...!! mambo ya kuishiwa nguvu za kiume za kuchungia, si' hakuna!
viazi vitamu huwa vitakatwa katwa kuwa clips harafu unaanika juu ya paa la nyasi.........vikikauka unachukua unaweka mfukoni unakula taratibu siku inaisha.................. ndoa haiwezi kuvunjika hapo