[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hahaah hili nalo neno.
Ila kina fundi juma wanakoma jamani. Mtu unatoa limshono Nigeria huko unaenda kumstress fundi Juma akushonee kama huo
#TeamHaiba#
Nitajie hyo website plz niingieKuna website wananiletea mishono kila siku. Kama mnapenda nikiwa na muda ni takes ninawaletea angalau mara moja kwa wiki. Ninasubiri jibu lenu.
View attachment 1356246
Huyu atakua m Congo
Mkuu unajua unaninyanyasa sana mkuu?Ww komaaaa wachaga tushaimprove mtuseme na jingine View attachment 1360094
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna website wananiletea mishono kila siku. Kama mnapenda nikiwa na muda ni takes ninawaletea angalau mara moja kwa wiki. Ninasubiri jibu lenu.
View attachment 1356246
Mmmmh utakuwa unawapima Dada zako nyumban au sio maana wanahangaika sana kwenda Kwa mafundKazi yangu ya uhasibu natupa kule nataka kuwa fundi wa kushona mavazi ya kike tuu. Narudia ya kike tuu. Napenda sana kazi ya kuchukua vipimo[emoji7][emoji7]
Yeyote hata wewe utabakia kuwa dada yangu. Provided kuwa siyo mke wangu au mama yangu. Wateja wangu wate wa kike watabakia kuwa dada zangu with maximum respectMmmmh utakuwa unawapima Dada zako nyumban au sio maana wanahangaika sana kwenda Kwa mafund
Sent using Jamii Forums mobile app