Mitindo mbalimbali ya vitenge

Mitindo mbalimbali ya vitenge

Mh... Bujibuji inategemea na dress code ya ofisi husika. Mf. sisi tuna official dress code kabisa na zimeelekezwa kwa njia ya picha. Kitenge huvaliwa siku ya ijumaa make hapo kila mtu analipuka kivyake maadamu nguo iwe ya heshima.

Kuna NGO flan jirani yetu, wao hawana official dress code. Kwa wadada huwa wanatupia hadi vipedo na wakaka jeans hata katikati ya week.

Ila kwa sisi ofisin kwetu jumatatu mpaka alhamisi inatakiwa utupie kisawasawa kama hivi

dress+code+women+what+to+wear+in+the+office.jpg
 
Last edited by a moderator:
sasa sina hata mtoto wa kusingiziwa kwanini nivae mavazi ya wazazi?? ila we lete tutakuunga vya kuendea kwenye chicken pati na kanisani lo

Ila kuna designs ambazo ni combo...kitenge unachanganya na fabrics nyingine inatoka poa sana...
 
Mmenikumbusha juzi kati nilikutana na mdada kwenye mgahawa fulani wa hospitali, baadae nikamkuta wodini kavaa joo la doctor...nikashangaa kwani sikuona kama ana personality ya kuwa doctor;...baadae nkajiuliza kwa nini sikuweza kudhania kuwa huyu dada ni doctor...jibu nilopata ni kuwa alikuwa amevaa kitenge....tena cha heshima kweli kweli na yeye bado ni kabinti...sasa ilimfanya aonekane poa sana to be a doctor; (kama mshamba fulani hivi). Lol....kweli vitenge si vazi la ofisi unless ushone kiofisi ofisi.

Ha ha ha ahaaaa! nyumba kubwa hata ukishona kiofisi bado kwangu mie ni turnoff! Niliwahi kushona kimoja kisicho na maua mengi kasuti kazuri sana lakini nilipokivaa kila mara nilikuwa najistukia kisa nimevaa kitenge ofisini.
 
Last edited by a moderator:
Mimi sijui ni uzee, mm huona kuna nguo ambazo naweza kuvaa ofcn hata kama ni kitenge. kinachotegemea hapo ni aina ya ushonaji tu basi.
 
Mpwa huyo raia kanitibua kule imebidi niingie vita ya msituni...
Puto ni mwanamama kabati au sanamu ya Michellin, kavimbaaa anasubiri kupasuliwa tu.
Hahahahaha! Anamiliki puto siyo? Alitoe wapi dogo mtaalam wa kupiga puli yule.:becky::becky:
 
Njoo unione miye sekretari wa waziri Mkuu nikiwa maeneo yangu na kitenge au kwao Tamisemi ndo nguo hizoo

Hongera dada, kumbe ndio wewe??? nilikua nasikia tu sifa zako...
 
Ila kuna designs ambazo ni combo...kitenge unachanganya na fabrics nyingine inatoka poa sana...

mueleze mueleze baba kitenge uchukue mishono ya kidhungu nguo za mwenge au makumbusho utakitaka...
Ciello shost white party navaa kitenge whiteeeeee
 
Last edited by a moderator:
Ila kuna designs ambazo ni combo...kitenge unachanganya na fabrics nyingine inatoka poa sana...

Mueleze mueleze baba kitenge uchukue mishono ya kidhungu nguo za mwenge au makumbusho utakitaka...
Ciello shost white party navaa kitenge whiteeeeee
 
Last edited by a moderator:
Hahahahah wananipendea flat screen yangu lol vipotabo ndo habari ya mujini shoga easy to carry lol
njoo nikupe muchina ikuze shost mjini hapa na unavyopenda kuhongwa usije kufa na njaa bureeeeee
 
mueleze mueleze baba kitenge uchukue mishono ya kidhungu nguo za mwenge au makumbusho utakitaka...
ciello shost white party navaa kitenge whiteeeeee


Hahahahah utatishajeeeee lol na siji kwa hiyo pati yenu kwasababu yako
 
mueleze mueleze baba kitenge uchukue mishono ya kidhungu nguo za mwenge au makumbusho utakitaka...
Ciello shost white party navaa kitenge whiteeeeee

Hahaha mimi ni artist hivyo mambo ya mavazi huwa najua tastes zake pia, especially hizi za African designs....
Ukichanganya fabrics na rangi maridhawa utakipenda kitenge...
 
Last edited by a moderator:
Kamshono kametulia, ngoja nimpelekee my fundi anishonee, haka mbona unavaa tu ofisini
ram, miguu unayo? au ndio uko kwenye harakati za kutufanya tucheke kisha uanze kuturushia mawe?
 
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom