"Nguo za vitenge" ndio zipoje? Walizovaa hao kwenye picha ni 'nguo za vitenge'?
hahahahah utatishajeeeee lol na siji kwa hiyo pati yenu kwasababu yako
Hahaha mimi ni artist hivyo mambo ya mavazi huwa najua tastes zake pia, especially hizi za African designs....
Ukichanganya fabrics na rangi maridhawa utakipenda kitenge...
Tumekarishwa hayo yote na tamaduni zetu wote.
But the fact is any cloth material can be well designed and used anywhere.
again kama tangu mwanzo wa zama za babu zetu watu wange preffer kuvaa khanga or kitenge katika mahofice, iguess tungesema kwamba those cloth girls used to wear kwa mahofice yao sio sahihi.
Finally here's my point___
office ni place or mahali, i mean it might be a building or an open area or whatever ambapo mtu anaendeshea shughuli yake ya kila siku, kama shoeshine, mtu anaeshona nguo, office ya radio & tv, office ya carpenter and whatever, wanavaa vile wanapendeza machoni pa watu. A female teacher may wear a khanga designed cloth na amefunga kilemba yake kichwani anaendea office,
So mie nadhani hawako interested kuvaa hivyo basi wanafanya matakwa yao.
Hi.
umeona kitenge chini au juu kidogo na kitu satini au silk ile mikato ya kidadaduu.Hahaha mimi ni artist hivyo mambo ya mavazi huwa najua tastes zake pia, especially hizi za African designs....
Ukichanganya fabrics na rangi maridhawa utakipenda kitenge...
aaaa wapi mi hata gunia nikivaa natokelezea....
Eti huji we hata ingefanyika mtaani kwenu usingekuja unavyopenda kujificha nby the way nimesikia umefungua id mpya kwa ajili ya white party....
Ila mi ntakujua tu
umuulize mamduchu wako snowhite ntakavyotokelezea na whiteeeeee kitenge
Hahahahahah huna lolote wa kupendeza utakuwa wewe bana!!!!
Nifungue id mpya ya nini mie nikija utanijua tu kwani lazima kila mtu kwenye pati ageuke nikifika eneo la tukio
mamduchu anajua lishape lako libaya ila anakudanganya tu kukupa moyo hahahahah
Hao wanawake "shapeless" kabisa. Nimejaribu kuchagua sijaona hata mmoja. Wengine hapo weusi tiiiii kama mkaa.
Vitenge vina ONGEZA UMRIII!!!!!!!! Msichana mdogoo unaonekana Mmama mtu mzimaaa!!!! Mambo gani hayo! Bibi wa miaka 40 nikijitupia Pencil skirt nikachomekea na kiblouse changu mayenu na mkanda wake juu, chini High hills na Pochi langu la tandika, nikaweka sunglasses UTANIJUAAAAAAAAAAAAAA!!!!!!!! Akhaaaaaaaa! Kama kigori cha 25 years!!!!!!!
Mpango wa sasa ni KUUKIMBIA UMRI kadri uwezavyo!!!!!!!! Sio kukubali shikamoo kirahis rahisi!
Hao wanawake "shapeless" kabisa. Nimejaribu kuchagua sijaona hata mmoja. Wengine hapo weusi tiiiii kama mkaa.
sasa na wewe umecomment nini??
Kama huna hoja kaa kimya soma michango ya wenzako..
This is your private business haituhusu...
Hakuna nlichojifunza kutoka kwako..
Pumbafuuuuuuu
kaa kimya soma michango ya wengine
Hahahahah umebugi meeeeeeeeeeeeeennnnnnnnnnnnnnn